Nape does not think....kinachorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania ni kupima uwezo wa watu kwa kuangalia vyeti/kujuana........Hata kama Mnyika bado angekuwa darasa la saba yet he is outstanding and bright minded figure..ana uwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo kujenga hoja na kuwapigania maskini wa nchi hiii...Hebu Nape tujibu...tumefaidika nini na maprofesa na madaktari wa CCM?wakina maghembe,muhongo na Nchimbi? we dont need certificates we need a bright mind........