- Thread starter
- #21
Mkuu,binafsi nina hamu sana ya kujadili mada yako..ila kwa kuanzia ungetuthibitishia,beyond doubt,kwamba jamaa ananunua watu..kisha ndio tuendelee..
Uthibitisho hupo anzeni kuangalia Viongozi wenu na watu wote wa karibu yao ndani ya nchi na wengine nje kwenye acc zao utakuja kuona kuna mabadiliko na kama bado hayajaanza kutokea sasa basi subiri ata miaka 5 mbele utaona figures zinavyoanza kubadirika.