Napata maumivu ya kichwa kutokana na viuvimbe fulani sikioni

Kipenseli

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
800
1,050
Habari Zenu Wana JF? Poleni na Mfungo pamoja na harakati za kupambana na pandemic disease inayosumbua dunia kwa sasa....Naomba nije kwenye point yangu ta msingi

*Mimi ni muathirika wa tatizo la usikivu (Tinnitus) katika sikio langu la upande wa kushoto na niliamua kukubaliana na hiyo hali baada ya kuona kuwa haiwezi kutibika tena baada ya kufanya jitihada za matibabu for almost miaka miwili bila ahueni.

*Ila tatizo jipya kwangu ni kuwa na viuvimbe fulani na kutokwa na uchafu katika sikio langu la upande wa kulia ambalo kiusikivu ndo liko poa kwa sasa jambo ambalo limenipelekea kuwa na homa kali na maumivu makali ya kichwa...

*Ni siku ya 6 sasa nasumbuliwa na hayo maumivu ya kichwa despite nime attend hospitali na kufanya vipimo huku nikiwa nimeambiwa nina malaria (Na Doze ya malaria nimeshamaliza ) lakini bado nasumbuliwa na hayo maumivu ya kichwa na temp kuwa juu sana....

*Swali langu kwa wanaJF na Professional wa ENT je tatizo langu linaweza kuwa ni nini? ni dawa gani inafaa kutuliza haya maumivu na je kuna uhusiano wa maumivu ya kichwa kutokana na viuvimbe katika sikio (Vijipu)?...Ni dawa gani mujarabu iwe ya asili au kawaida inayofaa kutibu tatizo langu?


*kuhusu suala la vipimo katika specialized hospital zaENT ni vigumu kidogo kwangu kutokana na changamoto ya kuafford gharama za matibabu pili hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa homa ya mapafu ambayo inaaffect movement za watu kutokana na kujilinda n maambukizi hayo


Msaada wenu wana JF
IMG-20200427-WA0082.jpeg
IMG-20200427-WA0085.jpeg
IMG-20200427-WA0084.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200425_190041_4.jpeg
    IMG_20200425_190041_4.jpeg
    46.5 KB · Views: 6
Pole Kaka lkn hatuwa ya Kwanza tafuta mtaalamu wa kupiga pembe,(cupping) baadae tafuta mtabibu wa dawa za baridi, akukande mishipa na dawa za suna za kunywa Kwa uji.aikande hiyo mishipa ya kichwani na hiyo mifuro mpaka iishe kabisa, ndipo damu iweze kutembea vizuri kichwani, baadae upimwe na pressure, na insha'Allah utapata uzima wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Zenu Wana JF? Poleni na Mfungo pamoja na harakati za kupambana na pandemic disease inayosumbua dunia kwa sasa....Naomba nije kwenye point yangu ta msingi

*Mimi ni muathirika wa tatizo la usikivu (Tinnitus) katika sikio langu la upande wa kushoto na niliamua kukubaliana na hiyo hali baada ya kuona kuwa haiwezi kutibika tena baada ya kufanya jitihada za matibabu for almost miaka miwili bila ahueni....


*Ila tatizo jipya kwangu ni kuwa na viuvimbe fulani na kutokwa na uchafu katika sikio langu la upande wa kulia ambalo kiusikivu ndo liko poa kwa sasa jambo ambalo limenipelekea kuwa na homa kali na maumivu makali ya kichwa...

*Ni siku ya 6 sasa nasumbuliwa na hayo maumivu ya kichwa despite nime attend hospitali na kufanya vipimo huku nikiwa nimeambiwa nina malaria (Na Doze ya malaria nimeshamaliza ) lakini bado nasumbuliwa na hayo maumivu ya kichwa na temp kuwa juu sana....

*Swali langu kwa wanaJF na Professional wa ENT je tatizo langu linaweza kuwa ni nini? ni dawa gani inafaa kutuliza haya maumivu na je kuna uhusiano wa maumivu ya kichwa kutokana na viuvimbe katika sikio (Vijipu)?...Ni dawa gani mujarabu iwe ya asili au kawaida inayofaa kutibu tatizo langu?


*kuhusu suala la vipimo katika specialized hospital zaENT ni vigumu kidogo kwangu kutokana na changamoto ya kuafford gharama za matibabu pili hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa homa ya mapafu ambayo inaaffect movement za watu kutokana na kujilinda n maambukizi hayo


Msaada wenu wana JFView attachment 1435745View attachment 1435746View attachment 1435749

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliwahi kupima macho?kama bado jaribu pia kupima macho yamkini yanahitaji miwani

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Pole Kaka lkn hatuwa ya Kwanza tafuta mtaalamu wa kupiga pembe,(cupping) baadae tafuta mtabibu wa dawa za baridi, akukande mishipa na dawa za suna za kunywa Kwa uji.aikande hiyo mishipa ya kichwani na hiyo mifuro mpaka iishe kabisa, ndipo damu iweze kutembea vizuri kichwani, baadae upimwe na pressure, na insha'Allah utapata uzima wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kaka kwa ushauri wakonitajitahidi inshaaallah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole...
Ulishawahi kufanya kipimo cha usikivu (Pure tone audiogram)?

Una kitundu chochote kwenye sikio lako kama hii? Google Image Result for https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/0/09/Preauricular_sinus.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana....Sikuwahi kufanya kipimo cha usikivu ila nilashawahi kwenda pale ekenywa kupata matibabu waliniambia baada ya kumaliza zile dawa nilizopewa niende kufanya hiko kipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom