...sioni tatizo katika hili la kutangaza mtazamo au target yake,kubwa ninaloona ni yeye kuamua kutupa nafasi ya kuchunguza mwenendo wake.
......Ukichukulia kwa mtazamo wa siasa za kuchafuana nadhani kweli ni tatizo, lkn yeye kaamua kuonyesha kuwa atazikwepa na kujiweka safi muda wote.
Kila la kheri Nyepesi Jiwe! We're watching you.
......Ukichukulia kwa mtazamo wa siasa za kuchafuana nadhani kweli ni tatizo, lkn yeye kaamua kuonyesha kuwa atazikwepa na kujiweka safi muda wote.
Kila la kheri Nyepesi Jiwe! We're watching you.