Nina mambo ya kukuweka sawa Bwana ndogo Kabwe.Kwanza sijafurahia na ULEVI wako wa umaarufu wa muda mfupi tuliokupa wakati ukitetea maslahi ya TAIFA,tulijua umaarufu huo ungejenga na kuimarisha chama na mapambano makali dhidi ya ufisadi.
MOSI:Heshima hujengwa kwa miaka lakini hubomoka ndani ya sekunde moja,kwa hiyo Zitto mapambano tuliyoyaona ya kizalendo na kukupa full suport angalia usilewe huo umaarufu na kuona kwamba ndo njia ya kwenda Ikulu.NO.Jisahiishe kwa hilo
PILI.Angalia usijekubomoa misingi ya kizalendo walionayo wapambanaji wa mafisadi ikaonekana wote ndo walewale wanajenga jina kwenda ikulu.Ni dhahiri kwamba huna ubia na chama cha CHADEMA,kwa hiyo ukivurunda watakutupilia mbali hili wao kama waendeleze mapambano halisi kwa ajili ya kumkomboa mkulima na mtu wa kipato cha chini anayeishi chini ya dola moja kwa siku NA SI KUKUMBATIA MSALITI KAMA WEWE ULIYEPEWA UBUNGE NA WANANCHI BADALA YA KUWAKOMBOA UNATUMIA MUDA MWINGI KUJIPIA DEBE KWENDA IKULU.pia jisahihishe kwa hilo
MOSI:Heshima hujengwa kwa miaka lakini hubomoka ndani ya sekunde moja,kwa hiyo Zitto mapambano tuliyoyaona ya kizalendo na kukupa full suport angalia usilewe huo umaarufu na kuona kwamba ndo njia ya kwenda Ikulu.NO.Jisahiishe kwa hilo
PILI.Angalia usijekubomoa misingi ya kizalendo walionayo wapambanaji wa mafisadi ikaonekana wote ndo walewale wanajenga jina kwenda ikulu.Ni dhahiri kwamba huna ubia na chama cha CHADEMA,kwa hiyo ukivurunda watakutupilia mbali hili wao kama waendeleze mapambano halisi kwa ajili ya kumkomboa mkulima na mtu wa kipato cha chini anayeishi chini ya dola moja kwa siku NA SI KUKUMBATIA MSALITI KAMA WEWE ULIYEPEWA UBUNGE NA WANANCHI BADALA YA KUWAKOMBOA UNATUMIA MUDA MWINGI KUJIPIA DEBE KWENDA IKULU.pia jisahihishe kwa hilo