Naona aibu kuzaliwa Mnyamwezi

Wana jf, angalieni, Nzg, Dr. Kigwangala, Igunga, Dr. Kafumu, Igalula, Dr. Mfutakamba, na Urambo, Pr. Kapuya, inapendeza!

na je wanafanya maendeleo sawa na elimu zao au wanakuja kujanga na kuendeleza uzaramoni..
 
We mpumbavu kweli,ebu kua mwerevu.Usomi wao una msaada gani na jimbo la Igunga,mahali ambapo ni pakame,njaa na shida zingine nzito za kijamii kama vile ubovu wa miundo mbinu kama ya daraja la Mbutu,mi si mwana Igunga lakini sehemu hiyo ya daraja la Mbutu ni moja ya kilio kikubwa sana kwa wananchi wanaounganishwa na daraja hilo ambalo wakat wa masika hua halipitiki.

Ndugu yangu,usomi na uongozi ni vitu viwili tofauti,uongozi ni karama na si usomi.Kama unamchagua msomi kwa kigezo cha elimu yake tu,nawe utakua mmoja wa watu wanaoliingiza taifa katika umaskini.
 
Msomi mzuri ni yule ambaye jamii yake inanufaika na usomi wake. Je! Hao uliotaja hapo, jamii imefaidika vipi na usomi wao?
Kapuya kafanya nini jimbøni mwake, zaidi ya kutembea na wake za watu, na ufisadi.
Kigwangala kfanya nini?
Huyo mgeni nini, amefanya madudu yake huko kwenye madini.
Hekima ni zaidi ya usomi. Wamekosa hekima.
 
Wasomi wao wanashiriki ktk harakati chafu za kuwakandamiza.
 
Dr. Kigwangala amehamasisha wananchi wake watambue haki zao kwenye mgodi wa lusu, hayo ndiyo matunda ya elimu yake.
 
pole sana ndugu yangu lakini huu ni mwanzo na kwa kuwa ww umeamka na mimi ninamwamko tuende tuwaelimishe ndugu zetu ili wajue haki zao. nafikili hii itatuchukua mda kidogo 2 wata2elewa. tuanzie na Igunga, uyui, nzega, sikonge, urambo, mpaka pale mjini Tabora na vijiji vyote.
 
Domo kaya! Shida ya wanyamwezi ni kama hiyo uliyoonesha ya kutokuwa proud na jinsi ulivyo! Kama kuna shida; what have u done about that? Mmekimbilia Dar, Tanga na Zanzibar halafu mnategemea nini? Wangapi mmejenga vijijini kwenu? Wangapi hamjui hata kinyamwezi. Acheni hizo; once mkianza kuwa proud then mtafanya something about maendeleo ya mkoa wenu!
 
Koma ukomae, Msusa wa Maharage. Mtu hata Laptop huna watumia Mobilephone ila matusi kibao.

Mkuu sio matusi bali ndio ukweli wenyewe, wewe unadhani makabila ya watu wajanja walikubali kupigana vita ya maji maji? Ni makabila yaliojaa wajinga pekee ndio waliamini kwamba risasi inaweza kugeuka maji. Kuichagua ccm kwa sasa ni usaliti kwa Taifa letu. No excuse on this.
 
Sasa unasema nini veve bana? Vita vya Majimaji si vilikuwa huko kwa Wangoni? Mirambo mwenyewe alitumia Wangoni kama Askari wa kukodiwa. Mnyamwezi alikuwa anaamini RISASI tu na ndiyo maana akaimba "ohh Nsansi zyabela mitwe" ikiwa na maana "ohh Risasi zimepasua vichwa....." na baadaye TANU na KANU (Kenya) wakageuza na kuimba Ohh, TANU/KANU yajenga nchi......

Pia hayo siyo matusi, kukoma ni ku-TERMINATE. Sasa hilo ni tusi?

Unanikumbusha afande aliyekuja juu kuwa katukanwa kwa kusikia neno HOPE-LESS. Hivi Hopeless ni tusi kweli?
Mkuu sio matusi bali ndio ukweli wenyewe, wewe unadhani makabila ya watu wajanja walikubali kupigana vita ya maji maji? Ni makabila yaliojaa wajinga pekee ndio waliamini kwamba risasi inaweza kugeuka maji. Kuichagua ccm kwa sasa ni usaliti kwa Taifa letu. No excuse on this.
 
Siyo kila anayeandika hapa ni Dogo wewe. Muone miguu kama Cock linawika.

Hizo laptop za laki na nusu ndiyo unaiambia niingie kufanya manunuzi yangu kwenye Ebay na Amazon?

Kwanza hata haitaweza kufungua Paypal maana usalama wake ni mdogo.......... Watu tunakwenda na Windows 7 na CPU Intel Core i7......

Kwa Mobile, mie ni mpenzi wa NOKIA na hapa hadi sasa natumia Nokia E 7 yangu na inanitosha sana.

Laptop ni laptop na Mobilephone ni mobilephone. Utakaaje unagonga ki-SIKIRINI kidogo siku nzima? Utafkiri upo Chekechea bana...

windows-mobile.jpg

Dogo kuna laptop za laki na nusu,, unajua bei ya windowphone wewe?
 
Back
Top Bottom