Habari zenu,
Naombeni msaada wa wazo la kibiashara gani ya kufanya ambayo itanisaidia kukuza mtaji wa mil 3 nilizopewa na ndugu zangu baada ya kuona nimekaa muda mrefu bila mafanikio ya kupata ajira.
Toka nipewe hizo hela sijala hata kumi bado napasua kichwa kuwaza nifanye biashara gani.
Naombeni msaada wa wazo la kibiashara gani ya kufanya ambayo itanisaidia kukuza mtaji wa mil 3 nilizopewa na ndugu zangu baada ya kuona nimekaa muda mrefu bila mafanikio ya kupata ajira.
Toka nipewe hizo hela sijala hata kumi bado napasua kichwa kuwaza nifanye biashara gani.