Makombeni10
Member
- Jul 29, 2015
- 34
- 64
Nimefungua kesi mahakama kuu dhidi ya eco bank. Kuna mtu amefoji title kwa jina la marehem mzee wangu ambae amefariki miaka 15 nyuma. Huyo mtu amekopa bank 250m na akaweka dhamana. Mwishowe bank walinivamia kutaka kuuz nyumba yangu. Ndipo nikaidhtak bank.
Kwa sasa ipo ptc ya mwisho kisha itaanza kusikilizwa..
Katika shitaka langu nimeitaka bank ikipe fidia kwa udhalilishaji.
Kwa wenye uzoefu. Nikishinda je naweza kulipwa fidia ya kias gan. Kwa makadirio??
Kwa wenye kujua naombeni msaada
??
Kwa sasa ipo ptc ya mwisho kisha itaanza kusikilizwa..
Katika shitaka langu nimeitaka bank ikipe fidia kwa udhalilishaji.
Kwa wenye uzoefu. Nikishinda je naweza kulipwa fidia ya kias gan. Kwa makadirio??
Kwa wenye kujua naombeni msaada
??