Naombeni ushauri kusomea HGL au diploma ya udaktari

Mar 31, 2014
26
3
Wadau naomba mnisaidie mimi ni muhitimu wa kidato cha nne 2015 nimefanikiwa kupata dívision 2 ya point 19 katika maisha yangu ya O level sikupenda somo la biology japo nilikua nachukua science matokeo yameonyesha hata biology nimefaulu kiukweli naipenda sana arts hasa combination ya HGL lakini mama amenitaka niende kuanza diploma ya clinical officer but siko enterested na udaktari.
Nifanyeje?
 
Msikilize mama lakini uamuzi wa mwisho uwe wako. Ingekuwa vizuri pia ueleze hiyo HGL unataka chukua ili ikupeleke wapi. Hii itasaidia kulinganisha unachotaka na ushauri wa mama.
 
+ parasitology, pharmacology, biochemistry, reproduction & obstetrics, surgery na mengineyo..... Mhhh kama haupendi Biology maana yake haupendi yote hayo na mengine tajwa hapo juu. UTAKUA TABIBU aina ya "Hech Jii Elo"
 
Bora uanze ujasiriamali tu, bachelor za social sciences zimejaa kibao mtaani hazina manufaa yoyote na hazihitajiki. Acha utoto, siku hizi ujanja, kupata. Kufika form five-university ni mzigo wenye kila aina ya majuto mbeleni hasa kwa hiyo michepuo ya sanaa.
 
Kwenu mboga saba?

Ukishasoma hiyo HGL halafu nini mpango wako wa baadae?

Na kwa nini HGL na siyo combination nyingine?

Kama kwenu ni ma-sonko,soma unachokipenda hata HKL sawa tu tofauti na hapo utakuja kumuona mamako genius kisa alikushauri ukasome utabibu.
 
Vipi unaweza HGE au EGM kama uwezi hakikisha ukisoma HGL unapata A 3 form six hili ukasome sheria UDSM au Ruhaha otherwise uamuzi ni wako arts ina wahitumu wengi kuliko ajira zilizopo,hila science inasoko sana hata ukisoma education future ni Bright sana.
 
Kwenu mboga saba?

Ukishasoma hiyo HGL halafu nini mpango wako wa baadae?

Na kwa nini HGL na siyo combination nyingine?

Kama kwenu ni ma-sonko,soma unachokipenda hata HKL sawa tu tofauti na hapo utakuja kumuona mamako genius kisa alikushauri ukasome utabibu.
so unanishaurije
 
Vipi unaweza HGE au EGM kama uwezi hakikisha ukisoma HGL unapata A 3 form six hili ukasome sheria UDSM au Ruhaha otherwise uamuzi ni wako arts ina wahitumu wengi kuliko ajira zilizopo,hila science inasoko sana hata ukisoma education future ni Bright sana.
so ni afadhali niende diploma??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom