neema pita
Member
- Apr 26, 2012
- 30
- 6
poleni na majukum wana JF wenzangu mimi nimemaliza kidato cha nne nikapata division four ya 30 nimekaa nyumbani mpaka nimechoka maisha magum imebidi nitafute chuo nisome chuo cha nurse biology nimepata f, kunamtu akanishauri ni gush chet kutoka wizarani kunamtu anaweza kufanya kaz hiyo nakunipatia cheti chenye maksi nzuri. naombeni ushauri kuna uwezekano wa kutengenezewa kutoka wizarani na kisijulikane? naombeni ushauri nimeshindwa nifanyeje