Naombeni tafsiri ya Ibara ya 25(3) (d) ya katiba ya mwaka,1977

Tuwamoi

Member
May 10, 2014
18
2
Jamani mkuu wa mkoa wangu anatulazimisha tena kwa vitisho kulipa Tsh:10000,''asiyetaka ahame mkoa wangu''anatumia ibara ya 25(3)(d) ya katiba.Kuchangia maendeleo ya taifa ni jambo jema lakini nalipa kodi kubwa (PAYE) pia nalipa indirect tax kama wengine tafadhali wadau naombeni tafsiri ya hiyo ibara hapo juu kwa anayefahamu
 
Mkuu Tuwamoi,kwanza kabisa Ibara yote ya 25 inazungumzia masuala ya kazi. Ibara ya 25,ibara ndogo ya 3 inazungumzia kazi za shurti ambazo zaweza kuruhusiwa kisheria. Yaani,lazima kuwe na sheria inayozifanya kazi zinazotajwa hapo kutokuwa kazi za shuruti.

Kimsingi,ibara unayoitaja inazungumzia masuala ya kazi na kutaja kazi ambazo si za shuruti kukiwepo sheria. Haihusiki na makato kwa namna yoyote ile.
 
Last edited by a moderator:
ndugu Petro E.Mselekwa nashukuru sana,kwani ni mwezi April tu nilitoa ten for the same issue leo tena natakiwa nitoe tena,pia kuna nyingine tena inakuja that is for high schools in every ward
 
Article 25, states about duty to participate in work.
Article 25(3)(d) says:
"Any work or service which form part of:
(i)routine services for ensuring the well-being of society
(ii)compulsory national services in accordance with the law
(iii)the national endeavour at the mobilization of human resorces for the enhancement of the society on the national economy and ensure development and national productivity
Kifungu hiki kinaelezea mazingira ambayo mtu au jamii inaweza ikalazimishwa kufanya kazi au kutoa huduma ambayo ktk mazingira mengine ingeonekana kuvunja sheria lkn hapa haitakuwa hivyo.
ili kufaham vizur ibara hii tuende katika lengo la bunge(intention of parliament) ni duty to participate in work,ndiyo dhamira ya bunge kutunga ibara hii, hivyo kukatwa pesa yako is not a work.
 
Article 25, states about duty to participate in work.
Article 25(3)(d) says:
"Any work or service which form part of:
(i)routine services for ensuring the well-being of society
(ii)compulsory national services in accordance with the law
(iii)the national endeavour at the mobilization of human resorces for the enhancement of the society on the national economy and ensure development and national productivity
Kifungu hiki kinaelezea mazingira ambayo mtu au jamii inaweza ikalazimishwa kufanya kazi au kutoa huduma ambayo ktk mazingira mengine ingeonekana kuvunja sheria lkn hapa haitakuwa hivyo.
ili kufaham vizur ibara hii tuende katika lengo la bunge(intention of parliament) ni duty to participate in work,ndiyo dhamira ya bunge kutunga ibara hii, hivyo kukatwa pesa yako is not a work.

Nimekuwa mwenye bahati kujiunga na jamii forum,sasa kwa mara ya kwanza nimejionea kiongozi mkubwa mwenye PHD(siyo ya sheria)akitoa tafsiri iliyokosolewa kwa usahihi na watumishi wasiohold certificate zaidi ya ile ya kidato cha nne.Asante sana mkuu Dunia Tabu
 
Back
Top Bottom