Naombeni mwongozo

Kuna wakati kweli tunahitajika tuyaangalie mambo kwa mapana yake

Kuna wakati watu hujiingiza kwenye changamoto nyingi sana kwa kujidai kukana kuwa watoto wao nao hufikia mahali wakawa na mahitaji kama vile marafiki,kutoka out n.k

Mambo hayo yalipelekea kujiingiza kwenye malumbano na na ugomvi na watoto wao kwasababu ya kujaribu kukana ukweli kuwa watoto wao nao ni binadamu kama wengine

Kwenye suala hili nako ni hivi pia

Wasichana wa ndani maarufu kama House Girls nao ni binadamu kama wengine
Wana marafiki,ndugu na wapenzi,sasa kama kweli tunawaona kama binadamu ambao wanahitaji kuwa na matumizi ya kibinadamu,shilingi 1000 inawezaje kutosha kwa wiki nzima?

Mi nadhani ni bora kutokumpa kabisa kuliko kumpa hela kidogo kama hiyo huku ukijua kabisa hana kipato kingine na akikitumia unakuja kulalamika,angalau ni bora uwe unampa kila baada ya siku 2 unampa hiyo "buku" maana kiukweli sijui ulitaka aitumie vipi kwa hiyo wiki nzima

Kama unajua nae ana watu ambao anahitajika kuwasiliana nao kama binadamu na hana kipato kingine kabisa ni bora ukajifikiria kama hiyo hela unayompa kama inatosha au laa

Nii dhana ya kuwaona hawa kama vile hawana mahitaji ya kibinadamu ndio inayopelekea malalamiko ya aina hii

Muongezee hela ya vocha au acha kabisa kumpa!
Kaka Ni vile wewe ni mwanaume so muda mwingi pakiwa na ishu hg atamweleza mama thuc why unaona kama wanabaniwa.utakuta pads ni gharama yako.hajaumwa.kanda mbili haijakatika umpe hela akashone. akiumwa wewe nguo zako umpatie zikikubana.ukienda kkoo shopping ya watoto lazma ununue chupi zake au bra akitaka kupunguza nguo kwa fundi wewe mafuta ya kujipaka mswaki wewe na hapo vyooooote ni nje ya mshahara so ukijumlisha vyote inawezafika hata 70000 elfu kumbuka anakula vizuri na wageni wakija soda zikiagizwa na yeye yke ipo pakulala+ hewa safiii anapata. sasa hajakuibia vichenchiii.unataka tuwapendaje sasa:what::what:ndo mana inabidi kumbana asikuzoee kivile na mwisho Wa mwezi anatiki mshiko umeingia aggghh;) so hakuna kumpa vocha just tafadhali nipigie inatosha
 
Ni vile wewe ni mwanaume so muda mwingi pakiwa na ishu hg atamweleza mama thuc why unaona kama wanabaniwa.utakuta pads ni gharama yako.hajaumwa.lands mbili haijakatika umpe hela akashone. akiumwa wewe nguo zako umpatie zikikubana.ukienda kkoo shopping ya watoto lazma ununue chupi zake au bra akitaka kupunguza nguo kwa fundi wewe mafuta ya kujipaka mswaki wewe na hapo vyooooote ni nje ya mshahara so ukijumlisha vyote inawezafika hata 70000 elfu kumbuka anakula vizuri name wageni wakija soda zikiagizwa na yeye yke ipo pakulala hewa safiii. sasa hajakuibia vichenchiii.unataka tuwapendaje sasa:what::what:ndo mana inabidi kumbana asikuzoee kivile so hakuna kumpa vocha just tafadhali nipigie inatosha

Ungekuwa umekisoma nilichoandika na ukaelewa wala usingejisumbua kuandika yote haya!
 
mi huwa namwambia anibip tu mi nitapiga,na huwa nahakikisha nakua na vocha muda wote ili akinibip tu nampigia,pia huwa nampigia nikifika kazini,mchana na wakati wa kutoka.
 
Nawasalimu wana MMU.

Jamani tuna hawa wadada wanatusaidia kukaa na nyumba zetu.

Kama tujuavyo maisha ya siku hizi bila simu inakuwa patashika kidogo.

Huwa mdada akija kama hana simu huwa nampa simu ambayo nimeinunua kwa ajili ya nyumbani ili niweze kuwasiliana naye naye awasiliane nami ambapo sipo nyumbani.

Na kama inatokea mdada kaja na simu yake basi simlazimishi atumie ile yangu, huwa natumia tu ile namba yake kwa mawasiliano.

Kinachotokea mpaka naomba mwongozo hapa ni kwamba; Huwa nampa sh. 1000 kila wiki kwa ajili ya simu, ili akipata dharura basi aweze kunitaarifu. Mara nyingi mimi huwa napiga simu nyumbani mara kwa mara kwa hiyo inatokea mara nyingi tu ndani ya wiki hajanipigia wala kutuma sms hata moja, na yaweza kuwa hivyo hata mwezi mzima.

Kinachonichosha, siku ikitokea kapata dharura wala hapigi, nikiuliza naambiwa simu haina hela.

Wenzangu pia mnakumbwa na hili tatizo?

Nifanyeje sasa ili hili tatizo liishe?

sababu wakati mwingine ni jambo la maana kabisa linatokea lakini hawezi kuniambia kisa hela kwenye simu kamaliza zoote kupigia watu wake, sasa maana yoooteee ya mimi kumpa hela ya simu inakuwa haipo.

Nimepata mdada mpya sasa nataka nianze naye tangu mwanzo sheria ya hela yangu ya simu iweje........

Dah, hapo pagumu sana mpenzi kumcontrol mtu na matumizi ya cm yake hata kama ww ndo unampa hela ya kununulia airtime ili kurahisisha mawasiliano incase of emergencies. Let's just say human beings cannot be tamed, utakua unagombana nao kila siku. Cha msingi ww endelea na hiyo ratiba yako ya kupiga cm home daily atleast 3 times a day just to get updates of how things are around the house, i am sure in between those calls kama kuna chochote cha haraka atakujulisha. Otherwise utakua unajaribu kubeba maji kwa pakacha mpenzi.
 
Nadhani hujanielewa pia

Hayo yooooote uliyoaorodhesha hapo ni mambo ambayo ni ya msingi kwa binadamu yoyote yule kuyapata na hutakiwi kuyahesabu kabisa kwa mtu ambae anakulelea wanao,kukufulia,kukusafishia nyumba yako n.k

Mshahara unaompa hautoshi kukamilisha mahitaji yake yote ikiwemo na vicha kwaajili ya kuwasiliana na wazazi,ndugu na jamaa zake,sio kwakuwa yeye ni msaidizi wako basi asiwasiliane nao,lakini cha ajabu zaidi ni wewe kuona mtu kupewa sh 1000 kwaajili ya vocha wiki nzima kuwa ni sawa

Sijui unaonaje kuwa ni sawa hata kama unamhudumia yote hayo uliyoyasema

Ni kwanini ukimfanyia ndugu yako huyahesabu lakini kwa msaidizi wako unayahesabu?

Au ndugu yako ni binadamu kuliko msaidizi wako wa kazi?
 
Hapo hamna usuluhishi zaid ya kukata huduma ya kumuwekea vocha,hata mm wife alilalamika anampa vocha bt inaishia kupigia ndg zake sasa hv huduma tumekata kbs tunapiga sisi kama akitaka vocha anunue mwnyw apige atakavyo....mabeki 3 akili zao wote ni moja.

You don't have to insult someone else to prove a point.
 
Sio fair ......

Kama anaish na binti ambae anajua nae anahitaji kuwasiliana na ndugu na jamaa kama binadamu mwingine ni kwanini haya yote yawepo?

Hivi kutenga shilingi 3000 kwa wiki kwaajili ya mawasiliano ya binti inakuwa ni hasara kweli?

Huyu binti ni wa muhimu sana,kumbuka tunawaachia watoto,wanawapikia chakula,wanawafulia nguo na nyumba unaikuta ipo safi,mshahara tu hautoshi kuonesha kuwa unamjali,kujali ni pamoja na kumfanyia mambo ya kibinadamu kama haya!

nafikiri hujanielewa,

kwa uzoefu wangu mabinti wa kazi hata umetengee 50000 ya simu itaisha pasikupigiwa tena atakua anazirusha hadi kwa wenzie.

cha msingi kama bint ana simu, basi asimpe yake iwe ya kuwasiliana na wenzie yake inatakiwa iwe ya matumiz ya nyumbn kwake
 
Mmh!
Mi nadhani tukiwachukulia wafanyakazi wa ndani kama wafanyakazi tu, matatizo hayataisha!

Either tunapaswa kuwachukulia kama wenetu and/or rafiki zetu!

From my point of view, haipendezi kumlimit beki 3 kwenye mambo ya mawasiliano eti kisa tu simu umempa wewe and/or umemuekea vocha ya buku kwa wiki 1!
...
Jamani nimeongea hayo kiroho safi na nadhani nimeeleweka!

If only everyone else had the same perception about house-helps like you then the world would have been a better place!!! Do not underestimate the power of someone who cooks for you, cleans up after you, look after your kids when you are out making money, literally gets the house running in your absence. Tuwapende na kuwaheshimu hawa mabinti jamani, treat them like they were your own family, akikosea mkanye like you would do your own siblings, hizi shida ndogo ndogo za kila siku utazisikia kwa jirani tu!
 
Naweza tu kuzijua kwa wewe kumpa msichana wako wa kazi sh1000 kwa wiki .....!!

Kuna haja ya kujua kingine zaidi ya hicho?

Najua hakutakuwa na tofauti kwani kwa yeye tu kuitumia hiyo "buku" imekufanya kuja kuweka thread hapa JF
May be mengine ni hatari zaidi!
ha haaaa, ni bora kubaki hivyo hivyo
 
Kuna wakati kweli tunahitajika tuyaangalie mambo kwa mapana yake

Kuna wakati watu hujiingiza kwenye changamoto nyingi sana kwa kujidai kukana kuwa watoto wao nao hufikia mahali wakawa na mahitaji kama vile marafiki,kutoka out n.k

Mambo hayo yalipelekea kujiingiza kwenye malumbano na na ugomvi na watoto wao kwasababu ya kujaribu kukana ukweli kuwa watoto wao nao ni binadamu kama wengine

Kwenye suala hili nako ni hivi pia

Wasichana wa ndani maarufu kama House Girls nao ni binadamu kama wengine
Wana marafiki,ndugu na wapenzi,sasa kama kweli tunawaona kama binadamu ambao wanahitaji kuwa na matumizi ya kibinadamu,shilingi 1000 inawezaje kutosha kwa wiki nzima?


Mi nadhani ni bora kutokumpa kabisa kuliko kumpa hela kidogo kama hiyo huku ukijua kabisa hana kipato kingine na akikitumia unakuja kulalamika,angalau ni bora uwe unampa kila baada ya siku 2 unampa hiyo "buku" maana kiukweli sijui ulitaka aitumie vipi kwa hiyo wiki nzima

Kama unajua nae ana watu ambao anahitajika kuwasiliana nao kama binadamu na hana kipato kingine kabisa ni bora ukajifikiria kama hiyo hela unayompa kama inatosha au laa

Nii dhana ya kuwaona hawa kama vile hawana mahitaji ya kibinadamu ndio inayopelekea malalamiko ya aina hii

Muongezee hela ya vocha au acha kabisa kumpa!

I knew there was something about you that i always liked! Thank you!
 
Kaka Ni vile wewe ni mwanaume so muda mwingi pakiwa na ishu hg atamweleza mama thuc why unaona kama wanabaniwa.utakuta pads ni gharama yako.hajaumwa.kanda mbili haijakatika umpe hela akashone. akiumwa wewe nguo zako umpatie zikikubana.ukienda kkoo shopping ya watoto lazma ununue chupi zake au bra akitaka kupunguza nguo kwa fundi wewe mafuta ya kujipaka mswaki wewe na hapo vyooooote ni nje ya mshahara so ukijumlisha vyote inawezafika hata 70000 elfu kumbuka anakula vizuri na wageni wakija soda zikiagizwa na yeye yke ipo pakulala+ hewa safiii anapata. sasa hajakuibia vichenchiii.unataka tuwapendaje sasa:what::what:ndo mana inabidi kumbana asikuzoee kivile na mwisho Wa mwezi anatiki mshiko umeingia aggghh;) so hakuna kumpa vocha just tafadhali nipigie inatosha

Seriously?!!! Kweli some people are soo narrow minded!!! Hivi vitu vidogo vidogo kama sanitary pads, cjui ndala, chakula na soda unavihesabia kama favours unazompa msaidizi wako wa ndani?! Lord have mercy!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
rafiki, naona ndo nitakakoelekea

fanya hivyo hutojuta.

jana nilikuwa nangea na prof. mwl wangu ni mbaba mtu mzima, akaniambia hakuna watu wanaopasua akili kama mabinti wa kazi.

yeye amechoshwa na tabia zao ambazo anadai zinatokana na elimu na exposure ndogo waliyo nao. kwasasa ameamua kuwa na wafanyakazi wa kiume kwa ajili ya house keeping na kazi zile nyeti kama kudeki chumban kwake na kufua nguo maalum anafanya yeye na mkewe wkeds. ametafuta mkaka mjuzi wa mapish na usafi, ambaye anamlipa hela nzuri na anajua mipaka ya kazi yake. btw hana mtt mdogo wte ni wakubwa labda atembelewe na wajukuu t
 
If only everyone else had the same perception about house-helps like you then the world would have been a better place!!! Do not underestimate the power of someone who cooks for you, cleans up after you, look after your kids when you are out making money, literally gets the house running in your absence. Tuwapende na kuwaheshimu hawa mabinti jamani, treat them like they were your own family, akikosea mkanye like you would do your own siblings, hizi shida ndogo ndogo za kila siku utazisikia kwa jirani tu!
Ni rahisi sana kusema hivi, na nahisi kila mtu angependa afanye hivi. Kwa research kidogo ambayo nimeifanya kwa watu wanaonizunguka na wanaowazunguka, kwa kadiri unavyojitahidi kuishi na hg kama nduguyo ndo jinsi unavyoumwa kichwa. Hii tabia huwa siikomi, kila hg akija namwona ni innocent na sitaki kumtundikia ubaya wa waliopita, nam-treat independently, lakini hawaishi kuniumiza kichwa. Nina watu kadhaa ninaowafahamu, including watu wa mataifa mengine ambao wapo hapa bongo, hasa wahindi, wanawa-treat mahg kama hawawajui lakini huwezi amini mahg wa nyumba hizo wanakaa kwa muda mrefu sana na kwa adabu.
Sisemi nitaanza ku-mistreat wadada, sababu haipo kwa nafsi yangu kufanya hivyo, sitaweza kuanza sasa, lakini hawa wadada wanatesa sana wakigundua wanapoishi ni kama nyumbani kwao.
 
You don't have to insult someone else to prove a point.

napenda sana msimamo wako juu ya haki za binadamu na hasa heshima kwa kila mtu.

naomba nikuulize hivi umewah kukaa na maid ww??nikimaanisha kwamba wew ndio bosi wake?

kama ndio wangapi toka uanze kuajiri??
 
Ni rahisi sana kusema hivi, na nahisi kila mtu angependa afanye hivi. Kwa research kidogo ambayo nimeifanya kwa watu wanaonizunguka na wanaowazunguka, kwa kadiri unavyojitahidi kuishi na hg kama nduguyo ndo jinsi unavyoumwa kichwa. Hii tabia huwa siikomi, kila hg akija namwona ni innocent na sitaki kumtundikia ubaya wa waliopita, nam-treat independently, lakini hawaishi kuniumiza kichwa. Nina watu kadhaa ninaowafahamu, including watu wa mataifa mengine ambao wapo hapa bongo, hasa wahindi, wanawa-treat mahg kama hawawajui lakini huwezi amini mahg wa nyumba hizo wanakaa kwa muda mrefu sana na kwa adabu.
Sisemi nitaanza ku-mistreat wadada, sababu haipo kwa nafsi yangu kufanya hivyo, sitaweza kuanza sasa, lakini hawa wadada wanatesa sana wakigundua wanapoishi ni kama nyumbani kwao.

mamito usihangaike sana kumjibu Miss Kim, naona bado hajafikia mahala pa kukaa na maid, siku akifikia atakuja hapa na hoja tofauti
 
Last edited by a moderator:
fanya hivyo hutojuta.

jana nilikuwa nangea na prof. mwl wangu ni mbaba mtu mzima, akaniambia hakuna watu wanaopasua akili kama mabinti wa kazi.

yeye amechoshwa na tabia zao ambazo anadai zinatokana na elimu na exposure ndogo waliyo nao. kwasasa ameamua kuwa na wafanyakazi wa kiume kwa ajili ya house keeping na kazi zile nyeti kama kudeki chumban kwake na kufua nguo maalum anafanya yeye na mkewe wkeds. ametafuta mkaka mjuzi wa mapish na usafi, ambaye anamlipa hela nzuri na anajua mipaka ya kazi yake. btw hana mtt mdogo wte ni wakubwa labda atembelewe na wajukuu t
rafiki, trust me, siku wale boys wakienda boarding school ndo siku nitakayoachana na hawa watu. sihitaji mtu wa kunipikia na kuosha vyombo kila siku. nitakuwa na mtu ambaye atakuwa anakuja mara moja tu kwa wiki kwa ajili ya usafi mkubwa wa nyumba.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
SIjawahi kumpa hela ya vocha, hajawahi niomba vocha, ana vocha full time, nahisi ananipigia/sms kubeep mara chache kuliko hata wadogo zangu. NAjua ananunua vocha kwenye hela hizo hizo za home, ila si-feel pain ya ganji zake.

Kwa kweli huyu ni dada wa pili mie kuishi naye na kumkubali, si kwamba hana mapungufu, ila ni mtu ametokea kwenye familia iliyojitambua, anaishi kama anaishi kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom