Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,238
- 23,663
Amekuudhi 😀.Amesoma jalalani
Ndiyo maana nmemwita taka taka
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Amekuudhi 😀.Amesoma jalalani
Ndiyo maana nmemwita taka taka
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ha haa unatuomba ushauri sisi Makolo ngoja kukuche tutakueleza cha kufanyaHabari za leo wanajamvi! Nipo njia panda naombeni mnisaidie namna nzuri ya kumkomoa huyu denu!
Ishu ipo hivi, miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma chuo UDSM, nilitokea kumpenda msichana amabaye kipindi hicho alikuwa anasoma high school. Alinikataa na badala yake akawa analiwa na lijamaa lingine.
Kwa kweli iliniuma sana maana nilikuwa sijawahi tolewa nje nikimtokea msichana yeyote...ilikuwa nawatoa kwa KO (nilikuwa sijawahi tolewa nje na msichana yeyote)nilikuwa nawatoa bikra hataree!, Ila huyu binti alinipiga za uso! Niliathirika sana kisaikolojia.
Sikukata tamaa niliendelea kumfuatilia hadi alipopata nafasi ya kujiunga chuo kikuu huko mkoani. Baadae nilisikia kapata mchumba na wako ktk harakati za kuoana, iliniuma saana!
Mungu si Athumani baada ya muda kidogo kupita nikajakupata habari kuwa huyo mume mtarajiwa alimpiga kibuti na kuoa msichana mwingine. Nilifurahi saaana baada ya kusikia habari hizo.
Baada ya kupita miezi kadhaa, nikatafuta contacts za huyu mrembo. Siku moja nikamuibukia hewani na kujitambulisha, na kumkumbusha namna alivyonimwaga kama mahindi ili kuku wanimeze.
Na nikamsisitiza bado nampenda! Alicheka kwa kimahaba...! Nikamweleza pia hali yangu ya maisha kikazi (Nipo Ofisi ya TRA makao makuu). Nikaendelea kuwa karibu naye kimawasiliano, na nilimwambia bado sijaoa (nilimdanganya maana tayari nilikuwa na mke). Nikamwomba mahusiano, bila ajizi alinikubalia!
Yeye anaishi mkoani Kilimajaro kwa sasa nimemwomba aje anitembelee Dar, ili nile mbususu yake na amekubali, bila shaka anaamini nitamuoa tu mbele ya safari, anatambua nilivyokuwa nimempenda enzi hizo! Ila kiukweli mimi ninachotaka kwake ni REVENGE...
Niliumia sana alivyonitolea nje enzi hizo akiwa binti mbichi! Sasa hivi ameona ametumika na amekosa mwelekeo anataka afie mikononi mwangu...Thubutu!
Siwezi fanya ujinga huo! Ila nataka nimkomeshe apate fundisho...Najua ametoka kwenye stress za kubwagwa! Naombeni ushauri wangu wanajamvi ili tukomeshe tabia hii chafu!
Nafikiria sijui akija nimle voda na tigo kisha nimbwage! Hebu naombeni ushauri wenu adhabu gani itamfaa demu wa aina hii!?
Utakuwa shoger wewe.Habari za leo wanajamvi! Nipo njia panda naombeni mnisaidie namna nzuri ya kumkomoa huyu denu!
Ishu ipo hivi, miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma chuo UDSM, nilitokea kumpenda msichana amabaye kipindi hicho alikuwa anasoma high school. Alinikataa na badala yake akawa analiwa na lijamaa lingine.
Kwa kweli iliniuma sana maana nilikuwa sijawahi tolewa nje nikimtokea msichana yeyote...ilikuwa nawatoa kwa KO (nilikuwa sijawahi tolewa nje na msichana yeyote)nilikuwa nawatoa bikra hataree!, Ila huyu binti alinipiga za uso! Niliathirika sana kisaikolojia.
Sikukata tamaa niliendelea kumfuatilia hadi alipopata nafasi ya kujiunga chuo kikuu huko mkoani. Baadae nilisikia kapata mchumba na wako ktk harakati za kuoana, iliniuma saana!
Mungu si Athumani baada ya muda kidogo kupita nikajakupata habari kuwa huyo mume mtarajiwa alimpiga kibuti na kuoa msichana mwingine. Nilifurahi saaana baada ya kusikia habari hizo.
Baada ya kupita miezi kadhaa, nikatafuta contacts za huyu mrembo. Siku moja nikamuibukia hewani na kujitambulisha, na kumkumbusha namna alivyonimwaga kama mahindi ili kuku wanimeze.
Na nikamsisitiza bado nampenda! Alicheka kwa kimahaba...! Nikamweleza pia hali yangu ya maisha kikazi (Nipo Ofisi ya TRA makao makuu). Nikaendelea kuwa karibu naye kimawasiliano, na nilimwambia bado sijaoa (nilimdanganya maana tayari nilikuwa na mke). Nikamwomba mahusiano, bila ajizi alinikubalia!
Yeye anaishi mkoani Kilimajaro kwa sasa nimemwomba aje anitembelee Dar, ili nile mbususu yake na amekubali, bila shaka anaamini nitamuoa tu mbele ya safari, anatambua nilivyokuwa nimempenda enzi hizo! Ila kiukweli mimi ninachotaka kwake ni REVENGE...
Niliumia sana alivyonitolea nje enzi hizo akiwa binti mbichi! Sasa hivi ameona ametumika na amekosa mwelekeo anataka afie mikononi mwangu...Thubutu!
Siwezi fanya ujinga huo! Ila nataka nimkomeshe apate fundisho...Najua ametoka kwenye stress za kubwagwa! Naombeni ushauri wangu wanajamvi ili tukomeshe tabia hii chafu!
Nafikiria sijui akija nimle voda na tigo kisha nimbwage! Hebu naombeni ushauri wenu adhabu gani itamfaa demu wa aina hii!?
Kwa uandishi huu hata form four hujafika. Ujinga mtupu.Ndio umeamua kunipa vitisho siyo!
Binti wa kichagga.
PESA kwake ni sawasawa na IZI na NYA! Alivyosikia TRA najua mapigo ya moyo yalipanda.
Acha kutisha watu, hakuna laana yoyote hapo.Unataka kujiletea milaana ya bure tu. Kama alikukataa ilikuwa ni haki yake. Na hakukufanyia vituko vyo vyote.
Kuna karma ndugu yangu. Unataka kumfanyia revenge wakati hata hakuna kosa alilokukosea. Laana hiyo itarudi ikutafune ama kwa mabinti zako na hata mkeo.
Kama unataka kumfanya mchepuko mwambie tu ukweli na kwa vile una pesa (TRA Makao Makuu) atakukubalia kama lengo lake ni pesa.
Iepuke hii laana!
muhumu sana ampime kabila ya kuichakataUnaweza kusema unamkomesha kumbe bibie anakuletea magonjwa sugu mwilini
atakua bado yupo Secondary huyuUmesoma UDSM na ukapata chuo mkoani na sasa upo TRA makao makuu unahangaika na mwanamke aliyekukataa akiwa sekondari. Kila la heri.
Tanzania will never, ever develop Kwa kuwa na mabanzi kama weweHabari za leo wanajamvi! Nipo njia panda naombeni mnisaidie namna nzuri ya kumkomoa huyu denu!
Ishu ipo hivi, miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma chuo UDSM, nilitokea kumpenda msichana amabaye kipindi hicho alikuwa anasoma high school. Alinikataa na badala yake akawa analiwa na lijamaa lingine.
Kwa kweli iliniuma sana maana nilikuwa sijawahi tolewa nje nikimtokea msichana yeyote...ilikuwa nawatoa kwa KO (nilikuwa sijawahi tolewa nje na msichana yeyote)nilikuwa nawatoa bikra hataree!, Ila huyu binti alinipiga za uso! Niliathirika sana kisaikolojia.
Sikukata tamaa niliendelea kumfuatilia hadi alipopata nafasi ya kujiunga chuo kikuu huko mkoani. Baadae nilisikia kapata mchumba na wako ktk harakati za kuoana, iliniuma saana!
Mungu si Athumani baada ya muda kidogo kupita nikajakupata habari kuwa huyo mume mtarajiwa alimpiga kibuti na kuoa msichana mwingine. Nilifurahi saaana baada ya kusikia habari hizo.
Baada ya kupita miezi kadhaa, nikatafuta contacts za huyu mrembo. Siku moja nikamuibukia hewani na kujitambulisha, na kumkumbusha namna alivyonimwaga kama mahindi ili kuku wanimeze.
Na nikamsisitiza bado nampenda! Alicheka kwa kimahaba...! Nikamweleza pia hali yangu ya maisha kikazi (Nipo Ofisi ya TRA makao makuu). Nikaendelea kuwa karibu naye kimawasiliano, na nilimwambia bado sijaoa (nilimdanganya maana tayari nilikuwa na mke). Nikamwomba mahusiano, bila ajizi alinikubalia!
Yeye anaishi mkoani Kilimajaro kwa sasa nimemwomba aje anitembelee Dar, ili nile mbususu yake na amekubali, bila shaka anaamini nitamuoa tu mbele ya safari, anatambua nilivyokuwa nimempenda enzi hizo! Ila kiukweli mimi ninachotaka kwake ni REVENGE...
Niliumia sana alivyonitolea nje enzi hizo akiwa binti mbichi! Sasa hivi ameona ametumika na amekosa mwelekeo anataka afie mikononi mwangu...Thubutu!
Siwezi fanya ujinga huo! Ila nataka nimkomeshe apate fundisho...Najua ametoka kwenye stress za kubwagwa! Naombeni ushauri wangu wanajamvi ili tukomeshe tabia hii chafu!
Nafikiria sijui akija nimle voda na tigo kisha nimbwage! Hebu naombeni ushauri wenu adhabu gani itamfaa demu wa aina hii!?
Unaongea hivyo wewe kwa sababu ni mwanamke maybe! Babu yangu alishawahi niambia kuwa kuwa ukimtokea demu akikukataa....ujue nuksi/gundu! Sikuwahi katataliwa na demu maishani mwangu...huyo demu alivunja record yangu! Nina hasira naye!
We ni KIMA Narudia tena🐒Unaongea hivyo wewe kwa sababu ni mwanamke maybe! Babu yangu alishawahi niambia kuwa kuwa ukimtokea demu akikukataa....ujue nuksi/gundu! Sikuwahi katataliwa na demu maishani mwangu...huyo demu alivunja record yangu! Nina hasira naye!
Ahaaa,Asante kwa taarifa.Ila mimi sitamla, nitakachokifanya ni kuwakabidhi vijana wangu wa kitaa wampige mande...kisha arudi kwao Moshi akapeleke somo.