Naombeni msaada wenu kimawazo, pesa ama kazi ndugu zangu

Mkuu kwanini usiende kujishikiza security companies kama GARDAWORLD, INSITE, G4S na nyinginezo mshahara kwa mwezi 370,000 hadi 430,000 kwa normal guard
Nani kakwambia Mshahara wao ni huo? Umewahi kujaribu kufanya hizo kazi?
Unazijua CHANGAMOTO zake?

Mleta mada pambana kitaa utatoka usiingie kwenye hayo Magereza sio km unavyoaminishwa unachoambiwa SIVYO kilivyo
 
ulichokiandika unakielewa lakini? Hizi sio local company hizo tajwa ni company zinazojiweza kabla ya ongezeko la mshahara normal guard alikua analipwa 250,000 hadi 300,000 baada ya ongezeko la mshahara 370,000 hadi 430,000 mimi nimefanya kazi kwenye kampuni mojawapo kati ya hizo tajwa
Quote Reply
Wewe jamaa ni muongo sana, usiwapoteze watu maboya watu wapo serious na maisha ikiwezekana hata kuzamia Canada US France na kwingine Ila simshauri mtu awe Mbwa kamwe
 
Hayo makampuni tajwa hapo unaweza kuingia hata kama hujapita jkt ilimradi uwe na cheti cha kuhitimu elimu ya secondary na wazamini wawili pia kuna short training ya darasani na vitendo (eneo la wazi) ukifuzu hiyo mitihani unapewa mkataba unavikwa gwanda unaingia kazini
Simshauri mtu aingie huko, vijana komaeni na mtaa mtaani kuna neema nyingi sana kuliko mnavyofikiria
 
Kwa ulichosomea umejaribu ku apply kwenye auditing fames au hata kwenye hawa clearing agents ila kwa namna ulivyoielezea shule yako kuna ki2 hakiko sawa like hy tra tax officer ndo kitu gani?anyway Mungu akutangulie kwenye hitaji lako
 
Usije ukathubutu ukapeleka ndugu yako huko,
Hapanq ..nilikua nauliza tu mkuu, maana japo mi ni mjasiriamali wa kawaida tu ila nalipa vijana wangu zaid ya hiyo pesa plus breakfast n lunch. Sasa kwann kaz ngum kama hiyo na ya hatar malipo yanakua duni namna hiyo?
 
Habari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kuandika ujumbe huu kwenu kuomba MSAADA wa mawazo, pesa ama kazi.

Mm Ni kijana wa kiume( msukuma), mhitimu wa chuo, course ya bachelor of science in taxation(TRA tax officer). Nmemaliza mwaka huu Bado Niko hapa dar kuzunguka kujikwamua kiuchumi.

HISTORIA YANGU YA UTAFUTAJI.

° wakati nikiwa primary, secondary nilikuwa nafanya kazi za ujenzi, kubeba mizigo kwenye magodown, na nying sana za kufanana na hizo(kufupisha story)ili kulea familia yangu huku nikiendelea na masomo yangu, ambapo mzee wangu alikuwa mgonjwa so jukumu la kulea familia ya watoto sita ikawa kwangu.

° hivyo hivyo mpaka chuo nimefanya the same thing. Wakati wa chuo maisha hayakuwa magumu sana maana nilikuwa napata boom na huku napata pesa zangu binafsi kupitia kazi km hizo nilizofanya awali,

° kwa Sasa yamekuwa magumu mno, kazi hzo Tena zmekuwa ngumu mtaani nafanya Ila pesa haitoshi, ukipata Leo unakaa wiki hata tatu hamna kazi, ndipo nikaamua kwenda kariakoo kubeba mizigo kwenye ofisi za kusafirisha mizigo kazi niliipenda maana napenda kufanya kazi hata bila kulala huwa sioni shida kabsa, lakini malipo yake sikuweza kulidhika nayo ndipo nikaamua kuachana nayo maana nafanya kazi kutwa nzima naunganisha usiku mpaka asubuhi KIFUPI naamkia kazini nalala kazini lakin unalipwa 25 na hapo tumepiga kazi, nimekunywa maji, kula chakula unajikuta unarudi na elf 14 nyumbani ambapo siku inayofuata hamuendi wanaenda kikosi kingne ambacho kilikuwa kimepumzika wakati nyie mnafanya kazi, ile elf14 haiongozeki Tena unaitumia hyo siku ambayo unapumzika, Sasa inaniwia ugumi sana mpaka nmeamua kuachana nayo.

°nasema kipato hakitoshi walau hata kidogo kwakuwa nimepanga, nyumbani siwez kurudi kwa Sababu hakuna Cha maana Cha kufanya hatuna mifugo, mashamba Wala asset yoyote.

° kwa kipindi hiki nasaidiwa na mwanadada ambaye Ni mpenzi wangu ambaye naye maisha ya nyumbani kwao hatutofautiani na kwetu hivyo anazijua shida ( nimesoma naye darasa moja hapa chuoni), Ila yeye aliwahi kupata kazi lakin licha ya kunipush kidogo anachopata Kuna dalili zote kabsa za kuachana maana amebadilika sana, Sasa ananiweka kwenye wakati mgumu ndiyo maana namm nahitaji nipate kitu Cha kufanya niondokane na mawazo yasiyo ya msingi,

° Cha msingi nahitaji kazi yoyote hata kazi ngumu, ama za ofisini zote hizo nitafanya (ambazo nitafanya kila siku) nitafanya kwa bidii zote hakika.

° kwa upande wangu nataman sana nifungue ofisi yangu Yan tatizo Sina mtaji

°naomba KUSAIDIWA kwa yeyote atakayewiwa (Ila huwa sifanyi kazi siku ya jumamosi) namba ya simu Ni 0764847468

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Una passport
 
Hapanq ..nilikua nauliza tu mkuu, maana japo mi ni mjasiriamali wa kawaida tu ila nalipa vijana wangu zaid ya hiyo pesa plus breakfast n lunch. Sasa kwann kaz ngum kama hiyo na ya hatar malipo yanakua duni namna hiyo?
Hakuna meal allowance
Hakuna health insurance
Hakuna promotions
Hakuna salary increments
Hakuna haki za mfanyakazi

Hivyo ni baadhi tu list ni ndefu
 
Habari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kuandika ujumbe huu kwenu kuomba MSAADA wa mawazo, pesa ama kazi.

Mm Ni kijana wa kiume( msukuma), mhitimu wa chuo, course ya bachelor of science in taxation(TRA tax officer). Nmemaliza mwaka huu Bado Niko hapa dar kuzunguka kujikwamua kiuchumi.

HISTORIA YANGU YA UTAFUTAJI.

° wakati nikiwa primary, secondary nilikuwa nafanya kazi za ujenzi, kubeba mizigo kwenye magodown, na nying sana za kufanana na hizo(kufupisha story)ili kulea familia yangu huku nikiendelea na masomo yangu, ambapo mzee wangu alikuwa mgonjwa so jukumu la kulea familia ya watoto sita ikawa kwangu.

° hivyo hivyo mpaka chuo nimefanya the same thing. Wakati wa chuo maisha hayakuwa magumu sana maana nilikuwa napata boom na huku napata pesa zangu binafsi kupitia kazi km hizo nilizofanya awali,

° kwa Sasa yamekuwa magumu mno, kazi hzo Tena zmekuwa ngumu mtaani nafanya Ila pesa haitoshi, ukipata Leo unakaa wiki hata tatu hamna kazi, ndipo nikaamua kwenda kariakoo kubeba mizigo kwenye ofisi za kusafirisha mizigo kazi niliipenda maana napenda kufanya kazi hata bila kulala huwa sioni shida kabsa, lakini malipo yake sikuweza kulidhika nayo ndipo nikaamua kuachana nayo maana nafanya kazi kutwa nzima naunganisha usiku mpaka asubuhi KIFUPI naamkia kazini nalala kazini lakin unalipwa 25 na hapo tumepiga kazi, nimekunywa maji, kula chakula unajikuta unarudi na elf 14 nyumbani ambapo siku inayofuata hamuendi wanaenda kikosi kingne ambacho kilikuwa kimepumzika wakati nyie mnafanya kazi, ile elf14 haiongozeki Tena unaitumia hyo siku ambayo unapumzika, Sasa inaniwia ugumi sana mpaka nmeamua kuachana nayo.

°nasema kipato hakitoshi walau hata kidogo kwakuwa nimepanga, nyumbani siwez kurudi kwa Sababu hakuna Cha maana Cha kufanya hatuna mifugo, mashamba Wala asset yoyote.

° kwa kipindi hiki nasaidiwa na mwanadada ambaye Ni mpenzi wangu ambaye naye maisha ya nyumbani kwao hatutofautiani na kwetu hivyo anazijua shida ( nimesoma naye darasa moja hapa chuoni), Ila yeye aliwahi kupata kazi lakin licha ya kunipush kidogo anachopata Kuna dalili zote kabsa za kuachana maana amebadilika sana, Sasa ananiweka kwenye wakati mgumu ndiyo maana namm nahitaji nipate kitu Cha kufanya niondokane na mawazo yasiyo ya msingi,

° Cha msingi nahitaji kazi yoyote hata kazi ngumu, ama za ofisini zote hizo nitafanya (ambazo nitafanya kila siku) nitafanya kwa bidii zote hakika.

° kwa upande wangu nataman sana nifungue ofisi yangu Yan tatizo Sina mtaji

°naomba KUSAIDIWA kwa yeyote atakayewiwa (Ila huwa sifanyi kazi siku ya jumamosi) namba ya simu Ni 0764847468

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI
Nimefatilia michango mbalimbali ya wadau, lakini ngoja nikwambie kitu mtoa mada. Kwenye Aya maisha kabala ujafanya maamuzi angalia kwanza wewe mwenyewe unataka kufanya Nini. Kuna mchangiaji hapo juu ameongea Jambo zuri sana, ukiwa katika utafutaji usipende kutanguliza elimu katika Dunia hii, hivi unajua ni watu wangapi walioko mtaani na elimu kama Yako lakini hawana kazi?.

Fata ushauri wa mdau hapo juu, Nenda kwenye kama Gad world, SGA, G4S, usiende kwenye kampuni tofauti na hizo nilizokutajia, Peleka maombi endapo utachaguliwa kujiunga. Ukiwa katika hatua za mwisho kupangiwa sites mwambie kiongozi akupeleke Zanzibar Kuna siku utanishukuru, ukisikia kiongozi anasema wanaotaka kwenda zanzbar mwambie akuweke kwenye list.Ukipata nafasi ya kwenda Zanzbar ni poa sana maana kule site nyingi ni mahotel makubwa ya kitalii, kwaiyo unakaa Camp Bure, unakula Hotel NK. Pesa Yako unatunza, ukipambana mwaka mzima umepata mtaji. Wanao kwambia siju mshahara ni 120000. ni ungo kabisa, Zanzbar milinzi wa G4S, Gad world SGA analipwa Hadi laki 4 ukubali ukatae Mimi nilipita uko.

Kingine ni kwanini ukomalie Dsm tu?, Ni kwanini vijana wengi mkmaliza vyuo hamtaki kutoka kwenye Hilo jiji? Kama vipi badili mazingira njoo hata mikoani ucheki furusa nyingine, Fact ni kwamba jiji la Dar limeshabana Yani kutoboa ni kipengele kikubwa. Walio nacho wataendelea kuwa nacho na asie nacho anabaki patupu. Badili mtazamo Rudi Hata mkoa upambane. Kwani dar pekee ndo Kuna maisha tu? Yangu ni hayo ukiambiwa kitu changanywa na zako. Maisha hayana huruma, sio Kila mtu anakushauri hapa ana huruma na Wewe, mwambie basi hata uende kwakwe ukale ugali kama atakubari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom