Naombeni msaada wakuu.

Azimio la kazi

Senior Member
Jun 7, 2023
138
451
Habari Wana bodi natumia wote ni wazima wa afya.

Wakuu Ilikuwa kama mwezi mmoja nyuma nilianza kupata maumivu chini ya mbavu upande wa kulia, hali hiyo ili endelea ndani ya wiki mbili, baada ya hapo yaka potea.


Cha ajabu Toka siku ya juzi maumivu Yale yameanza upya, pamoja na homa.

Leo jumatatu nimeamkia hospital apa Dr akashaur nifanye ultrasound,mrdt na full blood picture.

Majibu yameonesha malaria Sina, damu ni chafu, pia kimechonishitua Zaid Dr kasema kipimo Cha utrasound kinaonesha Figo ya kulia imebimba kutokana na bacteria Wengi Sana.

Kani andikia vidonge apa kasema nitumie kwa siku tano na kama hali haitabadilika kasema nirudi niingie kwenye tiba ya sindano.


Wakuu hapa na hofu sana sielew, nahis kama Figo Kwel imebimba basi ndo mwanzo wa mwisho wangu.


Naomba kuuliza je hii Hali ipo inaweza kurudi nikawa kama kawaida.


Umri wangu:23
Vileo situmii.
Kazi: mwanachuo
Dawa nimezopewa: mefamic acid pamoja na flucamox
 
Habari Wana bodi natumia wote ni wazima wa afya.

Wakuu Ilikuwa kama mwezi mmoja nyuma nilianza kupata maumivu chini ya mbavu upande wa kulia, hali hiyo ili endelea ndani ya wiki mbili, baada ya hapo yaka potea.


Cha ajabu Toka siku ya juzi maumivu Yale yameanza upya, pamoja na homa.

Leo jumatatu nimeamkia hospital apa Dr akashaur nifanye ultrasound,mrdt na full blood picture.

Majibu yameonesha malaria Sina, damu ni chafu, pia kimechonishitua Zaid Dr kasema kipimo Cha utrasound kinaonesha Figo ya kulia imebimba kutokana na bacteria Wengi Sana.

Kani andikia vidonge apa kasema nitumie kwa siku tano na kama hali haitabadilika kasema nirudi niingie kwenye tiba ya sindano.


Wakuu hapa na hofu sana sielew, nahis kama Figo Kwel imebimba basi ndo mwanzo wa mwisho wangu.


Naomba kuuliza je hii Hali ipo inaweza kurudi nikawa kama kawaida.


Umri wangu:23
Vileo situmii.
Kazi: mwanachuo
Dawa nimezopewa: mefamic acid pamoja na flucamox
Umejaribu maji ya upako? Usinunue, tengeneza ya kwako nyumbani, yanenee unataka yakasafishe uchafu wote wa magonjwa na maumivu, baada ya siku 21 utaona umepona kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom