mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Ni siku ya 3 leo tika niajiriwe na kujaza mkataba nimepangiwa kituo kidogo cha kufanyia kz ila hapo nilipopangiwa hakuna kazi ni kusaga ---- tuu kwenye bao
Watu wananishauri kua niombe nibakie ofisi kuu kwani ndio kuliko na kazi na ulaji.
Jeeee jamani naruhusika kuomba na mkataba unasema nitafanya kz popote?
Watu wananishauri kua niombe nibakie ofisi kuu kwani ndio kuliko na kazi na ulaji.
Jeeee jamani naruhusika kuomba na mkataba unasema nitafanya kz popote?