kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Naombeni msaada jamani kama kuna yeyote anaweza kujua dawa ya matatizo haya anisaidie.
Mimi ni mwanaume lakini nimekuwa na tatizo la kukuwa kwa makalio yangu, nimekuwa na shape kama mtoto wa kike.
Mimi siyo shoga lakini kwasababu ya matatizo yangu haya kuna watu tayari wameanza kunihisi vibaya na wengine kunitamani kabisa kama mtoto wakike, mpaka kwasasa najisikia aibu ya kutembea mtaani kwetu, nakaa ndani usiku na mchana.
Ningelikuwa na uwezo ningelikwenda uko Uturuki kupasuliwa lakini maisha yangu ni bandika bandua tu.
Kama kuna yeyote anajua dawa naomba anisaidie jamani.
Mimi ni mwanaume lakini nimekuwa na tatizo la kukuwa kwa makalio yangu, nimekuwa na shape kama mtoto wa kike.
Mimi siyo shoga lakini kwasababu ya matatizo yangu haya kuna watu tayari wameanza kunihisi vibaya na wengine kunitamani kabisa kama mtoto wakike, mpaka kwasasa najisikia aibu ya kutembea mtaani kwetu, nakaa ndani usiku na mchana.
Ningelikuwa na uwezo ningelikwenda uko Uturuki kupasuliwa lakini maisha yangu ni bandika bandua tu.
Kama kuna yeyote anajua dawa naomba anisaidie jamani.