Mediaty
Member
- Aug 10, 2023
- 23
- 24
Hello!
Matumaini yangu hamjambo kabisa.
Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
Matumaini yangu hamjambo kabisa.
Naombeni kujua mimi ni mtu aina gani, (Sanguine, Introvert, sigma, alpha n.k) maana nashindwa kujitambua.
Ni kijana wa miaka 24, nina sifa zifuatazi ambazo zinanifanya nishindwe kujitambua maana zinanichanganya;
- Ni muongeaji sana pale ninapokua na watu nilio wazoea.
- Sipendi kampani (napenda kukaa peke yangu)
- Nina ndoto kubwa, hasa za sanaa ya mziki na maigizo na uandishi
- Nipo single, sababu naogopa mahusiano ya mchongo. I need serious love
- Napenda Horror movies
- Nasoma pia horror novels
- Sipendi mikusanyiko au sehem zenye watu wengi
- Sio msafi sana wala mchafu (normal)
- Siamini sana kwenye issue za dini, japo nina uelewa juu ya ukiristo
- Napenda kuproduce kuliko kufanya mimi (mfano; kuproducia watu nyimbo instead mimi niimbe, kudirect kazi sanaa kiujumla japo talent ninazo)
- Nikitongoza mdada akakataa siwezi msumbua tena
- Sitaki kuajiriwa na yeyote au kua under some one. Lakini sipendi uongozi
- Nawaamini watu haraka, hivyo najikutaga nakopesha hela hawarudishi na silaumu wala kuwawazia mbaya. Naonaga kama ni akili mbovu na malezi
- Mwisho, sifurahii kuishi Africa, natamani niende Marekani then nikatimize ndoto huko ili kazi zangu ziwe international