Habari zenu, nilikuwa nawaombeni mnisaidie kunipa ushauri kuhusu viwanja vya kigamboni (Mjimwema) nataka kununua kiwanja huko. Lakini nafikiria hiyo kigamboni new city project ipo kwenye mjimwema. sio ninunue halafu nije kuambiwa hapo wanavunja vunja sasa hameni nendeni sehemu nyingine.
Je hapo mtanisaidia je? kwa yoyote yule aliye naejua kuhusu hilo naomba atoe maoni yake, itanisaidia sana mie.
Je hapo mtanisaidia je? kwa yoyote yule aliye naejua kuhusu hilo naomba atoe maoni yake, itanisaidia sana mie.