KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Wanaume:Ivi ukimtokea demu afu akakujibu ninamtu tayari ni maujanja gani ambayo mnatumia mpaka anachojoa?
(Hapa ni serious kabisa yuko in relationship)
Wakuu mi nikiambiagwa hivyo huwa domo linajaaga zege.
Kitu kingine,, mfana ameshakua tayari ni demu wako, siku ukija kumfumania afu akakujibu kuwa nilishakwambiaga nina mtu mtu mwanzo wa mapenzi yetu,,utamkoromea?
Mwanamke: Ni mistari gani mikali ambayo dume akikwambia au ulishawahi ambiwa ambayo ulikufanya umchojoeee viwalo?
(Hapa ni serious kabisa yuko in relationship)
Wakuu mi nikiambiagwa hivyo huwa domo linajaaga zege.
Kitu kingine,, mfana ameshakua tayari ni demu wako, siku ukija kumfumania afu akakujibu kuwa nilishakwambiaga nina mtu mtu mwanzo wa mapenzi yetu,,utamkoromea?
Mwanamke: Ni mistari gani mikali ambayo dume akikwambia au ulishawahi ambiwa ambayo ulikufanya umchojoeee viwalo?