Bongemzito
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 162
- 19
- Thread starter
- #21
halafu out yenyewe wanalazimisha utasikia anabeep ukipiga anauliza upo wapi ukimwelekeza anakuja na wenzake lukuki halafu asubuhi antaka mishiko tena hawa watu vipi hawa!!
Sasa hao ni wachunaji tu,ukiona unamuita anakija na wenzie basi ujue hakupendi hana huruma na wewe hata kidogo huyo..