N Ngoksi Member Jan 17, 2012 45 12 Apr 18, 2012 #1 Eti ni siku gan wanamke baada ya mp anaweza pata na kutopata mimba kwa yule anaepata mp baada ya siku 28
Eti ni siku gan wanamke baada ya mp anaweza pata na kutopata mimba kwa yule anaepata mp baada ya siku 28
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Apr 18, 2012 #3 fuata hapo..... http://www.freeovulationcalendar.net/
RGforever JF-Expert Member Apr 3, 2011 6,878 5,424 Apr 18, 2012 #4 >kupata Mimba siku ya 10 mpaka 17 >Kutokupata Mimba siku ya 3 baada ya kumaliza Damu mpaka siku ya 9. Na kuanzia siku ya 18 mpaka siku ya kuanza kubleed. Ila wanawake wachache sanaaa wanamzunguko wa siku 28. Wengi ni juu ya hapo. Reason Protein mbalimbali katika chakula.
>kupata Mimba siku ya 10 mpaka 17 >Kutokupata Mimba siku ya 3 baada ya kumaliza Damu mpaka siku ya 9. Na kuanzia siku ya 18 mpaka siku ya kuanza kubleed. Ila wanawake wachache sanaaa wanamzunguko wa siku 28. Wengi ni juu ya hapo. Reason Protein mbalimbali katika chakula.