Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Kuna acc si chini ya nne na page moja zote zinamuelezea Mh. Zitto Kabwe kwenye mtandao wa Facebook.
Naomba ufafanuzi kutoka kwa zitto kwasababu tunaweza kuwa tunamlaumu kwa tunayoyaona kwenye acc hizo kumbe sio yeye.
Naomba ufafanuzi kutoka kwa zitto kwasababu tunaweza kuwa tunamlaumu kwa tunayoyaona kwenye acc hizo kumbe sio yeye.