navin-govind
Member
- Apr 10, 2015
- 72
- 112
Ndugu zangu,
Huko nyuma niliwahi kupata dhahama ya kuanguka dhambini na mtumishi wetu wa ndani, na bila kutarajia akapata mimba, kwa kuwa nilikua under Satan's influence nikaikana ile mimba, baadae sana nilikuja kukubali, mtumishi alirudishwa kwao, wasuluhishi wakatusuluhisha na wife akarudi nyumbani, nikasamehewa.
Sasa wife amerudia kosa lile lile la wakati ule, familia yake wametuletea housegirl kutoka Ugweno ambae kwa kweli amekidhi vigezo vyote vya kuitwa mwanamke mkali, ni mzuri ajabu, umri wake ni mkubwa kidogo anakimbilia 30 na nimeelezwa kuwa alioshaolewa huko kijijini na kuachika na sasa ameamua kuja kufanya kazi ili aweze kulea mtoto wake huko kijijini.
Wowowo la huyu dada si mchezo, kiuno ni chembamba mno, nyonyo ni kama hajazaa vile, sikujua huko vijiji vya Upareni kuna wanawake wazuri namna hiyo, jinsi alivyo huyu dada ndio ugonjwa wangu mkubwa uliofanya nikaanguka hata mwanzo.
Sasa naogopa kumwambia wife kuwa kwa usalama wangu naomba amtoe haraka huyu dada, alete wabaya kama aliendoka. Juzi Sunday waliniacha nae wakaenda church, wakati anaoga nilipanda na kiti na kupenyeza jicho penye uwazi juu ya mlango na kushuhudia umbile zuri la huyu dada na kushuka haraka alipofunga maji, baada ya tukio hilo la jumapili nimejiridhisha pasipo shaka kuwa huyu dada aondolewe haraka kuninusuru, shida ni nani amwambie wife jambo hili.
Safari hii nina nia ya dhati kumkwepa shetani na vishawishi vyake, nahitaji maombi yenu kwa hali na mali, mnapokua mnaomba mnitaje niweze kuibuka mshindi kwenye jaribu hili.
Asanteni
Huko nyuma niliwahi kupata dhahama ya kuanguka dhambini na mtumishi wetu wa ndani, na bila kutarajia akapata mimba, kwa kuwa nilikua under Satan's influence nikaikana ile mimba, baadae sana nilikuja kukubali, mtumishi alirudishwa kwao, wasuluhishi wakatusuluhisha na wife akarudi nyumbani, nikasamehewa.
Sasa wife amerudia kosa lile lile la wakati ule, familia yake wametuletea housegirl kutoka Ugweno ambae kwa kweli amekidhi vigezo vyote vya kuitwa mwanamke mkali, ni mzuri ajabu, umri wake ni mkubwa kidogo anakimbilia 30 na nimeelezwa kuwa alioshaolewa huko kijijini na kuachika na sasa ameamua kuja kufanya kazi ili aweze kulea mtoto wake huko kijijini.
Wowowo la huyu dada si mchezo, kiuno ni chembamba mno, nyonyo ni kama hajazaa vile, sikujua huko vijiji vya Upareni kuna wanawake wazuri namna hiyo, jinsi alivyo huyu dada ndio ugonjwa wangu mkubwa uliofanya nikaanguka hata mwanzo.
Sasa naogopa kumwambia wife kuwa kwa usalama wangu naomba amtoe haraka huyu dada, alete wabaya kama aliendoka. Juzi Sunday waliniacha nae wakaenda church, wakati anaoga nilipanda na kiti na kupenyeza jicho penye uwazi juu ya mlango na kushuhudia umbile zuri la huyu dada na kushuka haraka alipofunga maji, baada ya tukio hilo la jumapili nimejiridhisha pasipo shaka kuwa huyu dada aondolewe haraka kuninusuru, shida ni nani amwambie wife jambo hili.
Safari hii nina nia ya dhati kumkwepa shetani na vishawishi vyake, nahitaji maombi yenu kwa hali na mali, mnapokua mnaomba mnitaje niweze kuibuka mshindi kwenye jaribu hili.
Asanteni