Naomba wanawake wafunguke kwenye hili……………….!

U bet! It was a mining exploration project.
Uranium inasakwa selous ambayo ni maalum for game hunting. Huyu dingi alizidisha kuchabo wakina aunt Grace tukampeleka selous ili akachabo wanyama hadi mama arudi. Kumbe ndo kwanza kaishia kwa vidosho vya kidhungu!
Sasa haya mambo ya kifamilia kuyaweka hadharani ndio nini!
Naomba u-delete hayo maneno yako kabla yule mwenzako Cantalisa hajayaona, maana najua na yeye akifika hapa hatakosa la kusema.
Hebu nitunzieni heshima kidogo basi ili na mie roho initue!
 
Rossian Roullete,i think main point hapa ni kuwa why wanawake wakiwa wengi kwenye eneo la kazi fulani wanakuwa na ukorofi,lakini wanaume wakiwa wengi kwenye kazi ileile kunakuwa na utulivu!Dont u see the different here?Maelezo uliyotoa ni mazuri lakini naweza kuyachukulia kama excuse kwasababu hayafit kwenye mjadala huu!Nilishawahi kufanya kazi na wanawake wengi,yaani wanaume tulikua wawili tu,nakuambia vurugu,uchawi vilikua haviishi,lakini kuna wakati wanawake walipungua sana hadi akabaki mmoja,nakuambia kulikua na utulivu na umakini kazini wa hali ya juu.Pia kuna jamaa yangu ana nyumba ya wapangaji,kuna wakati wanaume walikua wengi,palikua na utulivu sana,kwa sasa wanawake ni wengi,vurugu kila mara,mpaka ameamua kuwapunguza.Nakuambia hili ni suala la kimaumbile zaidi!
 
Mkuu, kudescribe mazingira ni tofauti sana na kuanalyse mazingira.
Inawezekana in those two cases hali ilikua kama ulivo sema (description), sasa nataka utwambie ni kitu gani kwenye jinsia ya kike kinasababisha hizo vurugu (analysis)?
Kwa mtazamo wangu sio jinsia ya kike bali ni mazingira ya kazi. Wanawake wakikutana field wanaweza kua wengi utaona wanapatana (if the job descriptions are clear). Na wanaume wanaweza kua ofisini na bado wakawangiana (for some of the reasons I have mentioned in the other post)
Sasa kama una insist kusema kua wanawake wanasababisha vurugu bila kueleza kivipi basi ni sexism. Ila kama utaweza kueleza ni kitu gani ambacho wanawake pekee wanacho (specific atribute to female gender) na kinasababisha vurugu I will start to believe.
Rossian Roullete,i think main point hapa ni kuwa why wanawake wakiwa wengi kwenye eneo la kazi fulani wanakuwa na ukorofi,lakini wanaume wakiwa wengi kwenye kazi ileile kunakuwa na utulivu!Dont u see the different here?Maelezo uliyotoa ni mazuri lakini naweza kuyachukulia kama excuse kwasababu hayafit kwenye mjadala huu!Nilishawahi kufanya kazi na wanawake wengi,yaani wanaume tulikua wawili tu,nakuambia vurugu,uchawi vilikua haviishi,lakini kuna wakati wanawake walipungua sana hadi akabaki mmoja,nakuambia kulikua na utulivu na umakini kazini wa hali ya juu.Pia kuna jamaa yangu ana nyumba ya wapangaji,kuna wakati wanaume walikua wengi,palikua na utulivu sana,kwa sasa wanawake ni wengi,vurugu kila mara,mpaka ameamua kuwapunguza.Nakuambia hili ni suala la kimaumbile zaidi!
 
Wapo wanawake ambao ni supportive pia AF, ila hapo kwenye kusaidiwa mie huwa nakerwa na wanawake wanaojilegeza wakifanya kazi na wanaume. Unatakiwa uonyeshe strengths zako, u just need support and not help. Uelekezwe na sio kusaidiwa. Wanawake tunakasirikiana kwa sababu ukija kufanya kazi na mie sitakusadia bali nitakuelekeza. Mwanaume anaweza akakufanyia kazi yoote ubaki una-file kucha kutwa!

Duh!Haya bwana,wanawake wa karne 21!Would u marry me?Teh,teh,teh,teh!!!!
 
Aaah wapi! Na hii thread nam-printia maza na ile ya vishawishi inamsubiri.
Afu acha wanawake wa jf anaowasema mrs ma2mbo waone kabisaa kuwa una mabinti wana wivu na wewe kuliko mkeo. Tunawatusulia humu humu, mama hana shida ana askari. Wa miamvuli!
Sasa haya mambo ya kifamilia kuyaweka hadharani ndio nini!
Naomba u-delete hayo maneno yako kabla yule mwenzako Cantalisa hajayaona, maana najua na yeye akifika hapa hatakosa la kusema.
Hebu nitunzieni heshima kidogo basi ili na mie roho initue!
 
Hehehe, nnajua kudekea mwanaume wangu hadi basi! Afu sikusaidii kulea familia. Kama unajua kudekeza niPM bank statement yako kwi kwi kwi
On a serious note: tumejiingiza kwenye kazi za wanaume na still tunataka kuwa treated like ladies? Na tunataka usawa hata kwenye maslahi? Hamna aisee!
Duh!Haya bwana,wanawake wa karne 21!Would u marry me?Teh,teh,teh,teh!!!!
 
RR,first of all,i dont want u to belive,i want u to know!Kinachofanya mwanamke awe kama alivyo ni maumbile!Namaanisha ndivyo alivyoumbwa.Kwanini unafikiri ni tatizo mwanamke kuwa na tabia hiyo?Kwanini usiichukulie kama changamoto kwenu?Sisemi kuwa wanaume hawana tabia hizi,ila ni wachache sana,wanawake ni wote,hiyo ni tabia ya KIKE!Thats why mwanaume akiwa na tabia hizo atasemwa ana tabia za kike.Pia fahamu kuwa mwanamke kuwa na tabia hizo sio udhaifu na kumfanya awe less human,bali ndivyo alivyo,hata wanaume tuna tabia za kiume na sio udhaifu.Kumbuka tabia hizi ni tabia tu!
 
Hehehe, nnajua kudekea mwanaume wangu hadi basi! Afu sikusaidii kulea familia. Kama unajua kudekeza niPM bank statement yako kwi kwi kwi
On a serious note: tumejiingiza kwenye kazi za wanaume na still tunataka kuwa treated like ladies? Na tunataka usawa hata kwenye maslahi? Hamna aisee!

Wha do u mean uliposema mmejiingiza kwenye kazi za wanaume?
 
dharau, kejeri, kutokuthaminiana na kujilinganisha kila wakati na pia wivu usio na manufaa ndo hupelekea wasiwe na maelewano
 
Za kuwa na nyumba ndogo, kulea waume teh teh !
Kuponda kokoto, ujenzi, kuranda na kazi za maporini.
Afu na nyie mmejiingiza kwenye kazi za wanawake. Kuna mtu nataka tumsengenye, ngoja nakuPM sasa hivi
Wha do u mean uliposema mmejiingiza kwenye kazi za wanaume?
 
Za kuwa na nyumba ndogo, kulea waume teh teh !
Kuponda kokoto, ujenzi, kuranda na kazi za maporini.
Afu na nyie mmejiingiza kwenye kazi za wanawake. Kuna mtu nataka tumsengenye, ngoja nakuPM sasa hivi

Hapo nimekuelewa!Ila kwenye kusengenya siwezi!Ngoja niendelee na kuponda kokoto!!
 
Aaah wapi! Na hii thread nam-printia maza na ile ya vishawishi inamsubiri.
Afu acha wanawake wa jf anaowasema mrs ma2mbo waone kabisaa kuwa una mabinti wana wivu na wewe kuliko mkeo. Tunawatusulia humu humu, mama hana shida ana askari. Wa miamvuli!
Naona nimebanwa kila kona humu......................Ngoja nibadili ID yangu niwapige chenga ya mwili................LOL
 
Heshima yako baba,
Huyo dada wa kizungu yuko sahihi kabisa,
Wanawake tuna matatizo sana tukiwekwa pamoja,

Mwenzenu nataman kufanya kazi na wanaume tu basi.
 
Basi, kama unashindwa kutoa sababu sioni maana ya kuendelea. Kila kitu kina sababu mkuu. na sababu yako kusema hivo ni because you are sexist. you believe that wanawake waliumbwa na
umbea,kusengeny na mambo mengine ya kufanana na hayo wanawake wameumbwa hivyo!

RR,first of all,i dont want u to belive,i want u to know!Kinachofanya mwanamke awe kama alivyo ni maumbile!Namaanisha ndivyo alivyoumbwa.Kwanini unafikiri ni tatizo mwanamke kuwa na tabia hiyo?Kwanini usiichukulie kama changamoto kwenu?Sisemi kuwa wanaume hawana tabia hizi,ila ni wachache sana,wanawake ni wote,hiyo ni tabia ya KIKE!Thats why mwanaume akiwa na tabia hizo atasemwa ana tabia za kike.Pia fahamu kuwa mwanamke kuwa na tabia hizo sio udhaifu na kumfanya awe less human,bali ndivyo alivyo,hata wanaume tuna tabia za kiume na sio udhaifu.Kumbuka tabia hizi ni tabia tu!
 
RR,are u sure hujaona sababu?Au unataka nitoe sababu ya aina gani?Au maumbile sio sababu?Tatizo wanawake mnamtizamo hasi juu ya uanawake wenu,hata yale ya kike mnayakataa na anaeyazungumza mnampatia majina ya ajabu ajabu.Mnapenda kujilinganisha na wanaume ili kujipima mnapokuta tofauti ndo mnapanda kichaa,mnaanza kuikataa,mnakataa hata yale ambayo ni ya kike kwa sababu hayapo kwa wanaume! hamjui kuwa mko kamili pamoja na uanamke wenu,mnadhani kuwa kama wanaume ndo usawa au ubinadamu!Wake up ladies!
 
I am a woman, and I know i am different. Ila tofauti ya wanawake na wanaume sio hapo kwenye umbea. Usilazimishe kusema kua umbea ni tabia ya kike kama utashindwa kutoa maelezo on how jinsia ya kike inasababisha umbea.
You are sexist in the sense that you believe that some negative traits are only found in women for no other reason except the fact that they are female. hiyo ni stereotyping, ni kuchukulia watu kwa generality.
Kwa taarifa yako
  1. Maumbile ya kike sio sababu ya umbea na usengenya.
  2. Sio kila mwanammke anae jilinganisha na wanaume (certainly not me)
  3. Sio kila Mwanamke anae pata kicha akiambiwa yuko tofauti na mwanaume (in fact kwa wengi ni sababu ya kujivunia)
  4. Unasema wanawake wako kamili pamoja na kua ni wanawake but at the same time unasema umbea na usengenya unakuja as part and parcel ya kua mwanamke. Kwa hiyo uneona kama umbea na usengenya ni ukamilifu au ndio umesha changanya reasoning?
Would it be fair if I said, based on your post, kua wanaume wakikosa sababu za msingi wanakimbilia kusema: that is how they are made? I don't think so. I believe EIYER kakosa arguments, na wala sio wanaume wote.

RR,are u sure hujaona sababu?Au unataka nitoe sababu ya aina gani?Au maumbile sio sababu?Tatizo wanawake mnamtizamo hasi juu ya uanawake wenu,hata yale ya kike mnayakataa na anaeyazungumza mnampatia majina ya ajabu ajabu.Mnapenda kujilinganisha na wanaume ili kujipima mnapokuta tofauti ndo mnapanda kichaa,mnaanza kuikataa,mnakataa hata yale ambayo ni ya kike kwa sababu hayapo kwa wanaume! hamjui kuwa mko kamili pamoja na uanamke wenu,mnadhani kuwa kama wanaume ndo usawa au ubinadamu!Wake up ladies!
 
Wanawake wengi kiukweli wana izo tabia, iwe maofisini au hata majumbani. Sijawahi kusikia mwanaume anasutwa ila kwa wanawake wenyewe wanaita SUNA! Kwa upande wa makazini, nature ya kazi na idadi ya wanawake pia huchangia kuwepo kwa tabia hizi. Ukikuta ofisi iliyo busy na wanawake ni wachache mara nyingi mambo haya huwa yapo kwa kiasi kidogo tu. Nenda kwenye manispaa kwa mfano, ambapo wanawake ni wengi sana (ma PS, OS na kadhalika) utaamini hili. Lakini pia naamini umbea, usengenyaji, majivuno, uchonganishi e.t.c kama ulivyosema ni tabia ya mtu ingawa kwa wanawake wengi wao wanazo na hata kwa ambao naturally hawana izo tabia wanakuwa influenced sana na makundi
 
Back
Top Bottom