Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
mmmh mbuzi kwenye majani mmmmhnini kujuana? Na biya tunazinywa kwa raha zetu. Na manyama choma ya kufa mtu. Unakaribishwa nawe pia. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
mmmh mbuzi kwenye majani mmmmhnini kujuana? Na biya tunazinywa kwa raha zetu. Na manyama choma ya kufa mtu. Unakaribishwa nawe pia. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ni PM kwa maelekezo zaidi. Siyo wote ni wanachama wetu na siyo wote wanaopenda kujumuika.nielekeze wapi vgezo na masharti vimewekwa.
I am indeed very troubled to know that a few people here need some help to kick off forum addiction while i have very little to offer to help them, so much worried to see some people spending whole day and nights in the forum chatting chat chat chat! posting threads the first thing Monday morning is a good sign of severe addiction, people need to realise that forum and chat line addiction can be bad as addiction from alcohol, drugs, gambling ,sex, smoking etc. this can make you develop an antisocial behavior, low esteem in the outer real world as well as loss of earning and time for beloved ones and your self be warned.
Just for once people try to cut the hours you are spending on 'chat chat chat' with friends you have never met in real life...be real
thethet! mpolee kazi ndo imeanza!!!
mbona sijaona. Umeniulza nn?
nipatie sifa zako ya kwanza hukwepeshi napenda hio.
nimekupm naomba unijibu kwa pm au hapa jukwaani kwa sababu mwisho wa siku hawa wanaosoma ndo watajaza ukumbi siku ya harusi yetu. Naomba uwe my sweet baby kama marafiki ninao wengi kama huamin kaangalie profile yangu. kama vipi tutumiane mawasiliano. Mapenzi hayahitaji sifa kinachotakiwa ni maelewano na makubaliano na kila mmoja moyo wake kumkubali mwenzie. be mine p'se!. Mia
nimekupm naomba unijibu kwa pm au hapa jukwaani kwa sababu mwisho wa siku hawa wanaosoma ndo watajaza ukumbi siku ya harusi yetu. Naomba uwe my sweet baby kama marafiki ninao wengi kama huamin kaangalie profile yangu. kama vipi tutumiane mawasiliano. Mapenzi hayahitaji sifa kinachotakiwa ni maelewano na makubaliano na kila mmoja moyo wake kumkubali mwenzie. be mine p'se!. Mia