Naomba uwe rafiki yangu.

I am indeed very troubled to know that a few people here need some help to kick off forum addiction while i have very little to offer to help them, so much worried to see some people spending whole day and nights in the forum chatting chat chat chat! posting threads the first thing Monday morning is a good sign of severe addiction, people need to realise that forum and chat line addiction can be bad as addiction from alcohol, drugs, gambling ,sex, smoking etc. this can make you develop an antisocial behavior, low esteem in the outer real world as well as loss of earning and time for beloved ones and your self be warned.

Just for once people try to cut the hours you are spending on 'chat chat chat' with friends you have never met in real life...be real

it is nice tht u remanded ths again.few days ago i wrote a thread lke uar coment bt people insulted me as a bulsheet!ilike th way u put it.
 
@mpoleeee mbona hunijibu? kukaa kimya ndo umekubali au. over
 
aisee! bilashaka umeshawapata wa kutosha, naona thread imefika page ya 6, wote waliochangia humu ni marafiki zako sasa.
 
nipatie sifa zako ya kwanza hukwepeshi napenda hio.

nimekupm naomba unijibu kwa pm au hapa jukwaani kwa sababu mwisho wa siku hawa wanaosoma ndo watajaza ukumbi siku ya harusi yetu. Naomba uwe my sweet baby kama marafiki ninao wengi kama huamin kaangalie profile yangu. kama vipi tutumiane mawasiliano. Mapenzi hayahitaji sifa kinachotakiwa ni maelewano na makubaliano na kila mmoja moyo wake kumkubali mwenzie. be mine p'se!. Mia
 
nimekupm naomba unijibu kwa pm au hapa jukwaani kwa sababu mwisho wa siku hawa wanaosoma ndo watajaza ukumbi siku ya harusi yetu. Naomba uwe my sweet baby kama marafiki ninao wengi kama huamin kaangalie profile yangu. kama vipi tutumiane mawasiliano. Mapenzi hayahitaji sifa kinachotakiwa ni maelewano na makubaliano na kila mmoja moyo wake kumkubali mwenzie. be mine p'se!. Mia

hahahahahahah! MIA!
 
aisee! bilashaka umeshawapata wa kutosha, naona thread imefika page ya 6, wote waliochangia humu ni marafiki zako sasa.



ni kweli, nina furaha ajabu nasubiri nipate pc niwaorodheshe kwenye list yangu.
 
nimekupm naomba unijibu kwa pm au hapa jukwaani kwa sababu mwisho wa siku hawa wanaosoma ndo watajaza ukumbi siku ya harusi yetu. Naomba uwe my sweet baby kama marafiki ninao wengi kama huamin kaangalie profile yangu. kama vipi tutumiane mawasiliano. Mapenzi hayahitaji sifa kinachotakiwa ni maelewano na makubaliano na kila mmoja moyo wake kumkubali mwenzie. be mine p'se!. Mia



taratiibu nina maswali. Pm ni nn? Mia ni nn? Nina was nawee kua mshobokaj wa ke. Nitakuamin vip?
 
@mpoleeee mbona hunijibu sasa wakati upo hapa kwenye thread yako?. mwenzio nipo serious. au unaona aibu? basi nipm. mia
 
Back
Top Bottom