maty ni dada yetu pia wapo watu wengi hapa wamesafiri wameenda kwenye shughuli ya mrembo wetu anaitwa afrodenz watarudi utawajua tu ope u will be very happy here my dear ila kumbuka rejaoNae yupo Jamii forumz?
@Asprini, jinsia yangu me. nimekimbia FB sbb ya kufanyiwa ushenzi sitaki huo ushenzi ujirudie ndio maana nimefunga.
maty ni dada yetu pia wapo watu wengi hapa wamesafiri wameenda kwenye shughuli ya mrembo wetu anaitwa afrodenz watarudi utawajua tu ope u will be very happy here my dear ila kumbuka rejao
prove it..give us a solid(steel) evidence that you are not.good thing am just a follower then. No need of kilin.
darl...kweli unajua kucheza nafasi yako! Naona unakaba kila engo!!karibu ila nisikuone karibu na rejao,
mmmh sijui mpolee yupo wapi nimtambulishe mjini hapadarl...kweli unajua kucheza nafasi yako! Naona unakaba kila engo!!
Tayari kashatambua uwepo wako...hawezi nisogelea tenammmh sijui mpolee yupo wapi nimtambulishe mjini hapa
Fataki ndo mwanaume au?Nimesikia ww ni fataki? kweli?
Mbona hujanishukuru kwa kukutoa kule na kukuleta huku kwenye burdani?Tayari kashatambua uwepo wako...hawezi nisogelea tena
Nawe umeshakua rafiki Asprini.
mara hii tayari umeshafika huku?...babu unakimbia sana..una miguu mingapi?Fataki ndo mwanaume au?
dah! umefanya la maana sana! kule hapafai kabisa! naaona wakuu wameingilia kati wakaichomoa ile kitu!Mbona hujanishukuru kwa kukutoa kule na kukuleta huku kwenye burdani?
Hahahaha huku hakuna kuulizana elimu, ni kutafutana maurafiki tu!!mara hii tayari umeshafika huku?...babu unakimbia sana..una miguu mingapi?
Sasa umekuja huku, umeona mtoto kashatimka? Umekuja na mastress yako au Smile kamtimua?dah! umefanya la maana sana! kule hapafai kabisa! naaona wakuu wameingilia kati wakaichomoa ile kitu!