Habari wana JF!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka miwili hivi sasa. Na nina mtoto mmoja.
Kabla sijaoa, mimi na mpenzi wangu tulikuwa tunaweza kufanya mapenzi usiku mmoja zaidi ya round tatu. Siku moja kama miezi miwili hivi imepita, nilishiriki tendo na mke wangu, baada ya round ya kwanza, nikapumzika kidogo, mashine ikashtuka tena, lakini nilipokuwa nataka kuingia tu, ngoma ikalala. Basi niliogopa sana, nikapatwa na wasiwasi sana, na wala haikusimama tena.
Kitu hiki kiliniumiza sana, nimekuwa na mawazo and im so depressed!!. And up to now, nimekuwa nikienda round moja tu, nikijaribu ya pili nakuwa na wasiwasi sana, hata kama ilikuwa ime errect inalala.
Ninachouliza wana JF ni kawaida kwa married kufikia hatua ya kuchapa kamoja tu au nintakuwa na tatizo?? Sijawahi kuwa na uhusiano nje ya ndoa tangia nimeoa.
Naomba ushauri ndugu zangu, kwa maana sina raha hata kidogo, hivi sasa hata nikimuona mke wangu moyo unalipuka kwa hofu!!!. Muda wote nimezingirwa na hofu, naomba msaada wana JF, kama mtu atajisikia anaweza akani pm, anishauri zaidi au nimpatie hata namba ya simu.
Regards,
Exploitee.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka miwili hivi sasa. Na nina mtoto mmoja.
Kabla sijaoa, mimi na mpenzi wangu tulikuwa tunaweza kufanya mapenzi usiku mmoja zaidi ya round tatu. Siku moja kama miezi miwili hivi imepita, nilishiriki tendo na mke wangu, baada ya round ya kwanza, nikapumzika kidogo, mashine ikashtuka tena, lakini nilipokuwa nataka kuingia tu, ngoma ikalala. Basi niliogopa sana, nikapatwa na wasiwasi sana, na wala haikusimama tena.
Kitu hiki kiliniumiza sana, nimekuwa na mawazo and im so depressed!!. And up to now, nimekuwa nikienda round moja tu, nikijaribu ya pili nakuwa na wasiwasi sana, hata kama ilikuwa ime errect inalala.
Ninachouliza wana JF ni kawaida kwa married kufikia hatua ya kuchapa kamoja tu au nintakuwa na tatizo?? Sijawahi kuwa na uhusiano nje ya ndoa tangia nimeoa.
Naomba ushauri ndugu zangu, kwa maana sina raha hata kidogo, hivi sasa hata nikimuona mke wangu moyo unalipuka kwa hofu!!!. Muda wote nimezingirwa na hofu, naomba msaada wana JF, kama mtu atajisikia anaweza akani pm, anishauri zaidi au nimpatie hata namba ya simu.
Regards,
Exploitee.