makungu junior
Member
- Nov 12, 2011
- 8
- 0
Nilikuwa na msichana mmoja niliunganishiwa na dada yake na huyo msichana,sasa siku ya kwanza kukutana siu ileile yule msichana akaniuliza nimevutiwa na yeye ama hapana mimi nikakubari nimevutiwa nae,ni kweli alikua na vitu baadhi navikubali kwake,siku mbili baada ya kuonana nikaandikiwa na yule dem akidai TUACHANE akiwa na visingizio eti yeye akikosa vocha ya kunitumia sms anaumia sana wakati time zingine nilikua nina mtumia vocha,sababu nyingine anadai nimwache na yeye asogee level ya chuo kama mimi wakati huo yupo 4m five mimi nipo diploma,ilo swala tukasuluhisha likaisha mara ya pili tena nikatumiwa sms TUACHANE kwa vigezo vya ajabu ajabu,mara ya tatu tena tukashindana kwa kitu kingine coz yule dem ni mbishi balaa,aliniazimisha kitu chake alipokihitaji akatuma mtu akifate,mimi hapo hapo nikaona huu ni upuuzi japokua dada yake tunaheshimiana sana nikaamua kumpiga chini yule dem,siku ile le akanywa vidonge ajiue bahati nzuri nikampigia sim mfanyakazi wao simu kumjulisha so alipozidiwa akaenda kuwashitua wakubwa wakampatia maziwa akapona,sasa hivi tunawasiliana kimagumashi sana mimi ndo niliamua kupunguza mawasiliano sana,lakini ata hivyo huyu dem hashituki saaana,ila siku akituma sms anaonekana kama mtu ambae bado hajanikatia tamaa,na dada yake bado sijamweleza mpango wa kumwacha mdogo wake,nisaidieni hapo wadau