oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
Wana jf,mimi napenda sana kusoma mambo ya IT haya,ila sahivi npo chuo mwaka wa pili nasoma Bachelor of arts with education,kiukwel teaching sipendi kabisa nasoma basi tuu!
Sasa nimepata sponsor ni ndugu yangu ana ishi U.S.A..,nami nataka enda soma huko ila sasa naenda kuanza upya degree na kusoma hiyo IT,je nisubiri nimalize mwaka wa tatu?au niende mwaka huu?
Sasa nimepata sponsor ni ndugu yangu ana ishi U.S.A..,nami nataka enda soma huko ila sasa naenda kuanza upya degree na kusoma hiyo IT,je nisubiri nimalize mwaka wa tatu?au niende mwaka huu?