HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Wana JF,
Kuna jirani yangu, mdada wa makamo ana watoto wawili wa kiume wa kuzaa mwenyewe na mmoja wa kiume wa ndugu yake anaishi nao huko boko. Amewafumani jana wakiwa wanafanya mchezo mchafu kwa zamu. Umri wao ni kati ya miaka 8 mpaka 11.
Anaomba ushauri juu ya nini cha kufanya maana anaona ibilisi mbaya ameingilia familia yake. Mawazo yake ni kuwa awatenganishe, kuwahamisha shule au awapeleke boarding au .....
Anahitaji ushauri wa haraka, kabla ya watoto hawajaharibika zaidi!
HP
Kuna jirani yangu, mdada wa makamo ana watoto wawili wa kiume wa kuzaa mwenyewe na mmoja wa kiume wa ndugu yake anaishi nao huko boko. Amewafumani jana wakiwa wanafanya mchezo mchafu kwa zamu. Umri wao ni kati ya miaka 8 mpaka 11.
Anaomba ushauri juu ya nini cha kufanya maana anaona ibilisi mbaya ameingilia familia yake. Mawazo yake ni kuwa awatenganishe, kuwahamisha shule au awapeleke boarding au .....
Anahitaji ushauri wa haraka, kabla ya watoto hawajaharibika zaidi!
HP