dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,399
- 15,977
Habari za Muda kidogo,
Wakuu mimi ndugu yenu ni mpiga madili na pia ni mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi na umeme pia, Sasa katka biashara hizi ninazo fanya ni kwamba nafanya biashara na Wakinga kwa maana ya kwamba mm ndiyo nanunua mizigo kwao na Kisha na mm Kuja kuuza kwa Bei rejareja
Sasa kwa Muda nimekuwa nikifanya nao biashara bila kuniletea usumbufu wowote ila Sasa Hawa ndugu zetu wakinga Wana tahumiwa kuwa Ni watu washirikina Sana na ni watu wakupenda kutoana kafara, misukule n.k inasemekana ni jambo la kawaida wao kutoa kafara ndugu zao bila hofu
Kwa upande wa kubadili supplier nimewahi kuwatumia wachaga waniletee mizigo ila SASa changamoto ya Hawa jirani zangu ni kwamba wananiuzia vifaa kwa Bei ya juu mno kuliko wakingaa na ndio maana nikawahama na kudili na wakinga tu, na Sasa nimetengeneza urafiki wakaribu sana na wakinga mpaka sasa wananikopesha Hadi mizigo ya pesa ndefu bila hofu
Je, kuna watu Wana uzoefu na Hawa jamaa ambapo kwa Sasa hivi ni wao ndio vinara kwa biashara kwenda kufata mizigo China
Je, hawa jamaa bi wadhulumaji?
Je, ni matapeli?
Je wanaweza na mimi kuniloga
Wakuu mimi ndugu yenu ni mpiga madili na pia ni mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi na umeme pia, Sasa katka biashara hizi ninazo fanya ni kwamba nafanya biashara na Wakinga kwa maana ya kwamba mm ndiyo nanunua mizigo kwao na Kisha na mm Kuja kuuza kwa Bei rejareja
Sasa kwa Muda nimekuwa nikifanya nao biashara bila kuniletea usumbufu wowote ila Sasa Hawa ndugu zetu wakinga Wana tahumiwa kuwa Ni watu washirikina Sana na ni watu wakupenda kutoana kafara, misukule n.k inasemekana ni jambo la kawaida wao kutoa kafara ndugu zao bila hofu
Kwa upande wa kubadili supplier nimewahi kuwatumia wachaga waniletee mizigo ila SASa changamoto ya Hawa jirani zangu ni kwamba wananiuzia vifaa kwa Bei ya juu mno kuliko wakingaa na ndio maana nikawahama na kudili na wakinga tu, na Sasa nimetengeneza urafiki wakaribu sana na wakinga mpaka sasa wananikopesha Hadi mizigo ya pesa ndefu bila hofu
Je, kuna watu Wana uzoefu na Hawa jamaa ambapo kwa Sasa hivi ni wao ndio vinara kwa biashara kwenda kufata mizigo China
Je, hawa jamaa bi wadhulumaji?
Je, ni matapeli?
Je wanaweza na mimi kuniloga