Wanajamii naombeni ushauri wenu. Ninataka kununua laptop na nimevutiwa na modeli mbili moja ya samsung na moja ya dell. Specs zake ni kama zifuatazo:<br><br><strong>Dell Inspiron 5040</strong><br>Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz<br>Memory: 4gb ddr3 ram<br>Hard disk: 500 gb<br>Operating system: DOS<br>Price :Tsh 890,000<br><br><strong>Samsung RV511</strong><br>Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz<br>Memory: 3gb ddr3 ram<br>Hard disk: 320 gb<br>Operating system: Windows 7 home premium<br>Price: Tsh 990,000<br><br>Waungwana naombeni ushauri niko njiapanda. Nilishataka kununua dell ila nikaambiwa na watu kwamba dell za siku hizi nyingi zimeshachakachuliwa hivyo si imara. Please naombeni mawazo yenu.<br><br><br>