Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,053
- 1,291
Nadhani ni kiwango cha hormone testosterone inayozalishwa kwa wingi kwenye baadhi ya miili ya wanaume na wengine kufikia hata hatua ya kuwa na baadhi ya maumbile ya kike kama kuota mtindi kipindi cha balehe
Sasa bhasi mojawapo ya kichocheo cha uzalishaji wa manii ni hormone tajwa hapo juu pamoja na fsH Manii inapokuwa produced huwa inatunzwa kwenye vas deferens na hii ni ongoing process sio kama mwanamke anayetoa yai moko au bela kila mwezi
Haya kwa akili yako unategemea ile mirija inayohifadhi sperm ikijaa nini kinatokea. Ndio maana kuna jamaa hapo juu alikwambia ukikwepa nyeto jiandae kukutana na ndoto nyevu kutokana na rapid productivity of sperm in your reproductive system.
Hivyo we endelea tuu na chaputa mpaka pale utakapopata wa huba na wa kumtolea machungu na nnakuhakikishia watu wa aina tajwa hapo juu huwa hawana matatizo sijui ya nguvu za kiume utampelekea moto kama kawa
Viva chaputa,Ahsante
Sasa bhasi mojawapo ya kichocheo cha uzalishaji wa manii ni hormone tajwa hapo juu pamoja na fsH Manii inapokuwa produced huwa inatunzwa kwenye vas deferens na hii ni ongoing process sio kama mwanamke anayetoa yai moko au bela kila mwezi
Haya kwa akili yako unategemea ile mirija inayohifadhi sperm ikijaa nini kinatokea. Ndio maana kuna jamaa hapo juu alikwambia ukikwepa nyeto jiandae kukutana na ndoto nyevu kutokana na rapid productivity of sperm in your reproductive system.
Hivyo we endelea tuu na chaputa mpaka pale utakapopata wa huba na wa kumtolea machungu na nnakuhakikishia watu wa aina tajwa hapo juu huwa hawana matatizo sijui ya nguvu za kiume utampelekea moto kama kawa
Viva chaputa,Ahsante