Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Nimekuwa nikisia redioni hasa matangazo ya vifo yanayosomwa na redio One ambapo wanatumia neno "mama wake" wakiwa na maana "mama yake fulani".
Je hayo ni matumizi mazuri ya kiswahili? Zamani tulizoea kusema mama yake....,
baba yake......................... Je Bakita wamebadili matumizi.
Je hayo ni matumizi mazuri ya kiswahili? Zamani tulizoea kusema mama yake....,
baba yake......................... Je Bakita wamebadili matumizi.