Wadau siku ya 3 leo nasumbuliwa na mafua,tonsils na kikohoz kikavu,nimetumia dawa (pen-v) bado hali haijatengemaa,tangu jana nimeshndwa kufundisha,maana makamas yanadondoka tu,naiomba serikali yangu inipeleke INDIA nikatibiwe,kama kuna mdau anaujua mchakato basi auweke hapa ili kila mtu ajue anawezaje kupata fursa ya kupelekwa India akatibiwe