Desidii
JF-Expert Member
- Oct 2, 2007
- 1,201
- 86
Ile ililoana wakati natoka gulion mvua ik2nyeshea hv hukubaki na negative?[/QUOTE]
Hizo bluu zimenikumbusha mbali sana kuna guilo fulani liko sehemu moja wanaita Maganzo duh kuna waarabu wengi hapo wananunua almasi lakini kwenye gulio wanajazani ile mbaya.
Negative sasa tunaiita Nega ukipiga picha unaonyesha dole gumba raha mstaehe