Naomba niulize

chiefnyumbanitu

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
906
426
habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?

naomba msaada nifahamishwe.
 
habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?

naomba msaada nifahamishwe.
Kwani ww hilo jinalako ni halisi?

Aafu kwq kizazi cha sasa iyo Id yako ni matusi
 
Mi nadhani anonymous inamfanya mtu kuwa huru kutoa maoni ukizingatia tena kuna li cyber law.
 
habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?

naomba msaada nifahamishwe.
We utakua una unaumwa upungufu wa kufikiri....mbona wewe hujiulizi kwa nn hujaweka jina lako
 
habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?

naomba msaada nifahamishwe.
Preach what you practice
 
habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?

naomba msaada nifahamishwe.
Sababu unazijua ndiyo maana hata wewe umeficha!
 
Back
Top Bottom