Naomba msaada

Yaelekea saut ndo kimbilio la waliofeli,maana kila mwenye matokeo mabovu anataka kwenda saut?
 
kwani gs wanaihesabia kwenye cut-off points maana nimeona umeandika points 3.5 nijuzeni jamani
hii general minimum requirement ya tcu kwa kozi zote wanazo fanyia admission lakini kila chuo na kila kozi ina admission requirement zake na cut -off point zake
general studies na divinity+ islamic knowledge hazihesabiwi kwenye ukokotoaji wa hizi point kwa hiyo kama wamesema cut-off point ni 3.5 kwa mfano comb kam pcm ina maana umepata eds=1+2+0.5=3.5
divinity+islamic knowledge inachukuliwa kwa wale wenye kwenda vyuo vya dini wanasoma mambo ya theolojia +elimu ya kiislam

..............................................admissions guidebook for higher education institutions in tanzania
7. minimum entry requirements for admission into higher education institutions the minimum entry requirements set by tcu for university institutions and nacte for non-
university institutions are as follows: (a)
for those with ‘a' level secondary education qualifications, the minimum entry into
degree programmes offered by universities shall be two principal passes and a total of 2.5 points;
 
Back
Top Bottom