Naomba msaada wenu ndugu zangu

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Jul 30, 2007
1,407
159
Heshima kwenu wanaJF

nina connection ya internet ambayo ni wired nahitaji kuibadilisha kuwa wireless.nimefikia uamuzi huu kwani hapa nyumbani kwangu nina vijana wangu ambao kutwa nzima wana shinda wa kitumia internet,hivyo kitendo hicho kina wanyima wengine kutumia mtandao,hivyo nimeonelea ili kuondoa mzozo huo nifanye utaratibu wa kuingeuza kuwa wireless ili kila mtu awezekutumia akiwa chumbani kwake badala ya kutengemea Computer moja ambayo imeonganishwa na mtandao. Naomba ushauri wenu nitumie njia gani kuibadilisha kuwa wireless,je ni vifaa gani ambavyo na paswa kuvinunua ili kuweza kufanikisha kusudio langu?
 
Heshima kwenu wanaJF

nina connection ya internet ambayo ni wired nahitaji kuibadilisha kuwa wireless.nimefikia uamuzi huu kwani hapa nyumbani kwangu nina vijana wangu ambao kutwa nzima wana shinda wa kitumia internet,hivyo kitendo hicho kina wanyima wengine kutumia mtandao,hivyo nimeonelea ili kuondoa mzozo huo nifanye utaratibu wa kuingeuza kuwa wireless ili kila mtu awezekutumia akiwa chumbani kwake badala ya kutengemea Computer moja ambayo imeonganishwa na mtandao. Naomba ushauri wenu nitumie njia gani kuibadilisha kuwa wireless,je ni vifaa gani ambavyo na paswa kuvinunua ili kuweza kufanikisha kusudio langu?
Hapa ina maana unataka kufungua Internet Cafe ya nyumbani ambayo kila mmoja anahitaji Computer yake iunganishwe na mtandao.
Nadhani kuna kifaa maalum cha kuunganishia computer zaidi ya moja. Ukipata hicho nadhani utakuwa umepunguza usumbufu.
Wataalam wa haya masuala waendelee kuchangia na kutoa msaada zaidi.
 
inabidi uwe na wireless router halafu utapaswa kufanya configuration..
 
......Nadhani kuna maalum cha kuunganishia computer zaidi ya moja. Ukipata hicho nadhani utakuwa umepunguza usumbufu....

Ni kweli, na kifaa hicho kinaitwa 'wireless router' au 'hub'. Router zipo za aina nyingi sana kulingana na mahitaji yako, lakini kwa Dar nyingi zilizo sokoni ni D-Link, Huawei, Panasonic na Sony.
Ufanyaji kazi wa router au hub ni kwamba, ule waya wa mtandao ambao kwa sasa umeuweka katika kompyuta yako, unaingiza katika inlet ya router, then router ina matoleo kadhaa (iwapo ni ya waya) kwa ajili ya kuchomekea nyaya za kutumia mtandao katika kompyuta nyingine.
Kwa wireless router, kawaida inakuwa na aerial ambayo husambaza mtandao ktk maeneo ya karibu kwa njia ya aerial. Kwa kawaida kunakuwa na software maalum (yenye password) ya kudhibiti uingiaji holela ktk mtandao husika pamoja na firewall.
Ukifika katika duka lolote ambalo vinauzwa vifaa hivi watakupa maelezo na msaada zaidi, wa namna ya kutumia kifaa hiki.

kila la kheri
 
Hapa ina maana unataka kufungua Internet Cafe ya nyumbani ambayo kila mmoja anahitaji Computer yake iunganishwe na mtandao.
Nadhani kuna maalum cha kuunganishia computer zaidi ya moja. Ukipata hicho nadhani utakuwa umepunguza usumbufu.
Wataalam wa haya masuala waendelee kuchangia na kutoa msaada zaidi.
vijana wangu kila mmoja ana laptop yake,hivyo kama kutakuwa na wireless kila mmoja atapata fursa ya kutumia mtandao bila kumpa mwenzake usumbufu. Speed ya connection yangu ni 1mbps ambayo itawatosha sana endapo watakuwa wanatumia wote kwa wakati mmoja
 
ili uwe na wireless access inabiti ununue wireless access point,
kwa maoni yangu nuna LINKSYS.then fanya configuration kama unajua
au ongeza switch ambayo itasaidia kuuunganisaha zaidi ya pc moja hapo kwneye wired.lakini pia nunua pc nyingine maana hao wadogo zako wapo wengi hapo.

tafuta kifaa hiki wireless 802.11a+g, KWA AJILI YA WIRELESS ACCESS POINT.
Lazima uwe na router.
pia lazima uwe na XDSL/ CABLE MODEM.

kama unadesktop nyingi nunua WL760A DUAL BAND WIRELESS PCI ADAPTER ili hizo desktop ziweze kukmata wireless.

NB;hawa ndugu zako wana fanya kazi za maana hapo kwenye net?
 
Ni kweli, na kifaa hicho kinaitwa 'wireless router' au 'hub'. Router zipo za aina nyingi sana kulingana na mahitaji yako, lakini kwa Dar nyingi zilizo sokoni ni D-Link, Huawei, Panasonic na Sony.
Ufanyaji kazi wa router au hub ni kwamba, ule waya wa mtandao ambao kwa sasa umeuweka katika kompyuta yako, unaingiza katika inlet ya router, then router ina matoleo kadhaa (iwapo ni ya waya) kwa ajili ya kuchomekea nyaya za kutumia mtandao katika kompyuta nyingine.
Kwa wireless router, kawaida inakuwa na aerial ambayo husambaza mtandao ktk maeneo ya karibu kwa njia ya aerial. Kwa kawaida kunakuwa na software maalum (yenye password) ya kudhibiti uingiaji holela ktk mtandao husika pamoja na firewall.
Ukifika katika duka lolote ambalo vinauzwa vifaa hivi watakupa maelezo na msaada zaidi, wa namna ya kutumia kifaa hiki.

kila la kheri
Idimi asante sana kwa ufafanuzi wako mzuri.Naitaji kutumia wireless kwani computer zote zina wireless card.
 
Tuko pamoja mkuu!
Kuna maelezo ya ziada hapa, iwapo utataka, just for your interest!
Ubarikiwe sana Idimin,




attachment.php

Hii ndio ni nayoitaka.Mkuu naomba unielekeze namna ya kuifanyia security configuration na N'K

attachment.php

Hii mkuu sijaipenda kwani computer ambayo inasambaza network ikizimwa na nyingine zote zina kosa network
 
Last edited by a moderator:
mkuu angalia
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=menFtdWGdHo&feature=related"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=GmTyG1P_CHQ&feature=related"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=NvGLHppD50o&feature=related"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]


zipo video nyingi youtube...unaweza kuziangalia na kufanya mwenyewe ni rahisi sana....
 
3 types of wireless technology.G is a basic type works reasonably best in small homes.G+MIMO is more advanced better signal for larger homes.N is the ultimate,ultra fast,strong signal ana a 300 plus metre range.WITH time new products etc etchit the market and hence you will have more uses for the wireless router,i would suggest you go for the N standard
 
usisahau kuweka security pin ya kuconnect na wireless router,watu wengi walionunua hizi wireless router zamani never bothered about security sababu wireless gadgets werent that many,but of late wireless tech has picked up and its dangerous to not have a pin,waweza kuta police have called to your place due to what has been downloaded on your computer,kumbe jirani ndiye ana acess to your computer sababu hukuweka security-mimi computer yangu inakamata two other wireless networks in the vicinity cause of negligence ya wenye nazo
 
mkuu unachotakiwa kufany ni kununua router ambazo zinaweza kusapoti wireless, ambazo mi nazifahamu na pia ninatumia ni router za TRENDnet.zina support both LAN na WLAN yani wireless. so nunua hiyo kwa kutumia hapo nyumba unaweza kupata wireless vyumba vyote. its powerfull. then chukua wire wako unaoleta link kwenye computer yako connect kwenye port ya WAN ya TRENDnet router. then nunua wireless card ya kama haina built in wireless card. baada ya hapo unaweza kupata internet kwenye computer bila kutumia wire, pia hiyo TRENDnet router ina port za LAN unaweza kuconnet mpaka computer 8 kwenye router moja kwa sababu ina act kama DHCP.
kama utakuwa hujanielewa. naweza kukusaidia zaidi.

regards
Xpert.
 
Back
Top Bottom