Wakuu tafadhalini sana naomba msaada wenu, kijana mkorofi, mtukutu amemaliza f4-2010 matokeo ana D moja tu ya biology,veta hataki anataka kuunga certificate ya business, akaomba ali-sit mwaka huu 2011, shuleni fujo, walimu wanadai anakunywa pombe, sigara, kutoroka n.k wamemfukuza na malalamishi km hayo alikuwanayo akiwa f4, nimechoka sana, naomba msaada wenu wa kila hali niko tayari na ndio first born, je pana shule ya WATUKUTU kama hawa ?