Gharama zake zinaweza kurange kias gan bosMkuu hakuna kitu kama kumuweka kwenye chupa,
Ulijifungua mtoto Njiti, atakuwa admitted NICU (neonatal ICU) Huko atapata huduma zote zinazostahili mpaka atapo tengamaa na kufikisha kg 1.5,
Kuhusu gharama atalipa dawa alizotumia, na cost nyingine kulingana na mahitaji yake, ila sio kubwa sana
Hivi mtoto akizaliwa kabla ya wakati lakini ana kg zaidi ya 1.5 anawekwa NICU pia?Mkuu hakuna kitu kama kumuweka kwenye chupa,
Ulijifungua mtoto Njiti, atakuwa admitted NICU (neonatal ICU) Huko atapata huduma zote zinazostahili mpaka atapo tengamaa na kufikisha kg 1.5,
Kuhusu gharama atalipa dawa alizotumia, na cost nyingine kulingana na mahitaji yake, ila sio kubwa sana
Wadada wa leo waoga, wengine hawana hata complications za afya, lkn wanaomba wapigwe mkasi!...Siku hizi ni mnajipangia kabisa 'upasuaji' kwa kuchagua tarehe, huko mbele mtajua tu hizo ganzi ni kitu gani.
HAWATAKI KUSUKUMA MZEEWadada wa leo waoga, wengine hawana hata complications za afya, lkn wanaomba wapigwe mkasi!...
Kwa hiyo hamna matibabu au wodi private? interestinghuwezi toka huko ukaenda na njiti wako pale
Hawataki au beki hazikabi?HAWATAKI KUSUKUMA MZEE
yote majibu mkuuHawataki au beki hazikabi?
Wadada wa leo waoga, wengine hawana hata complications za afya, lkn wanaomba wapigwe mkasi!...