NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 590
helo Mpendawali, it sounds as if na ww unaendasoma Petroleum Eng. Kama itakuwa 2po wote plz naomba 2wasiliane. Halafu mm nilipocheki yale majina ya all s2dents 2liochaguliwa wenye hela nyingi ni 3,882,500 mm nikiwa mmoja wapo. It means ther is no one given 100%loan. Then hii koz yangu, cc ndiyo wa kwanza au?
Nyie sio wa kwanza kuna jamaa yangu anasoma pale alimaliza six 2010, sasaivi anaingia mwaka wa 3