Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,550
- 86,147
Jamani wana JF,
Kwa leo sitapenda kutoa taarifa kamili kwa jili ya interest fulani lakini naombeni sana kama kuna mtu anaweza nisaidia katika hili.
Huku mkoanii kwetu tulipozaliwa, Baba na Mama walikuwa wafanyakazi wa serikali na tuliishi kwene nyumba ambayo ilijengwa kwa msaada wa serikali na kukabidhiwa baba, mara baada ya baba kustaafu aliachiwa nyumba mama tena kwa maandishi kwani alikuwa mtumishi wa serikali pia, cha ajabu,, afisa mmoja wa sekta fulani, alikuja na kufanya vurugu na tukatolewa kwenye nyumba na nuymba hii akamkabidhi ndugu yake. N
imejaribu kufuatilia bila mafanikio lakini jambo zuri ni kwamba nimefanikiwa kupata baadhi ya nyaraka ambazo endapo nitapata msaada wa kisheria nitaweza kudai baadhi ya vitu.
aliyetayari ntaaomba tuwasiliane hapa hapa then nitampa mawasiliano yangu binafsi
Asante sana
Kwa leo sitapenda kutoa taarifa kamili kwa jili ya interest fulani lakini naombeni sana kama kuna mtu anaweza nisaidia katika hili.
Huku mkoanii kwetu tulipozaliwa, Baba na Mama walikuwa wafanyakazi wa serikali na tuliishi kwene nyumba ambayo ilijengwa kwa msaada wa serikali na kukabidhiwa baba, mara baada ya baba kustaafu aliachiwa nyumba mama tena kwa maandishi kwani alikuwa mtumishi wa serikali pia, cha ajabu,, afisa mmoja wa sekta fulani, alikuja na kufanya vurugu na tukatolewa kwenye nyumba na nuymba hii akamkabidhi ndugu yake. N
imejaribu kufuatilia bila mafanikio lakini jambo zuri ni kwamba nimefanikiwa kupata baadhi ya nyaraka ambazo endapo nitapata msaada wa kisheria nitaweza kudai baadhi ya vitu.
aliyetayari ntaaomba tuwasiliane hapa hapa then nitampa mawasiliano yangu binafsi
Asante sana