Habari,mimi ni mama wa watoto2,professional yangu ni mwalimu wa primary,mwaka2009 nlifukuzwa kazi kwa kosa la kinidham kwamba sijakuwepo kazin takriban miez2(nmeandika kadri ya hukum ila sio kweli kuna ukiritimba ndani yake kati yangu na mkuu wa shule),,,bas hali hiyo ikapelekea mimi kufukuzwa ila nkapewa nafasi ya kujitetea nkaandika barua,na katka kufatilia nimeambiwa kesi imeisha nmeshinda barua yakurudi kazini iko tayari bado kusainiwa ili itumwe,nimejarbu kuifatilia hadi wizaran nkaambiwa nisubir watatuma,ikumbukwe naish maisha yakuunga unga huu mwaka wa5. Bahati mbaya tena nkiwa safarin toka dar kufatilia ivo vitu tukapata ajari,pochi yangu nlyokuwa nmeishika mkonon ina vyet,simu na pesa na vtambulsho viliibiwa eneo la ajari,hapa nlipo nna original ya vyet vya shule lkn cha ualimu nlchotembea nacho sina kimeibiwa nmebaki na results slip tu,taarifa polisi na magazetin nishatoa,lengo langu ilkuwa niombe kazi shule binafs lkn chet ndo tatzo,naomben ushaur nfanyeje ndgu zangu najua nyie wasomi mmepitia mengi mawazo yenu msaada kwangu.WANAJAMVI IO NI TAARIFA YA MAMA JIRANI YANGU KAOMBA MSAADA NIMPOSTIE HILI SWALA.