Nina mtoto wa dada yangu ana point 26. Matokeo yake hayakuwa mazuri naamini ni kutokana na kusoma shule za kati.
English C
Geography C
Maths D
Physics D
Biology D
Chemistry D
Kiswahili D
Civics? D
History D.
Dogo alipenda sana kwenda High School. Lakini sijui hata shule moja ya kulipia. Ningejitahidi kumsaidia. Inaelekea anapenda kwenda University akafanye masomo ya Uhasibu. Naona ingekuwa vizuri achukue combination ya EGM au ECA. Ni shule zipi nzuri za Private abnaweza kupata kwenye mikoa ya Ruvuma, Iringa, Mbeya, Morogoro?
Au kuna mtu ana ushauri mwingine wa kumwezesha kuingia chuo kikuu kusomea uhasibu?
English C
Geography C
Maths D
Physics D
Biology D
Chemistry D
Kiswahili D
Civics? D
History D.
Dogo alipenda sana kwenda High School. Lakini sijui hata shule moja ya kulipia. Ningejitahidi kumsaidia. Inaelekea anapenda kwenda University akafanye masomo ya Uhasibu. Naona ingekuwa vizuri achukue combination ya EGM au ECA. Ni shule zipi nzuri za Private abnaweza kupata kwenye mikoa ya Ruvuma, Iringa, Mbeya, Morogoro?
Au kuna mtu ana ushauri mwingine wa kumwezesha kuingia chuo kikuu kusomea uhasibu?