Naomba msaada kuhusu telnet

baldin

Senior Member
Jan 2, 2012
185
41
nimetelnet freeshell.org kwenye port 22,nimefanikiwa kulogini lakini nimeshinndwa kuendelea naomba msaada wa commands
za kuchat kupitia ssh!:nerd:
 
nimetelnet freeshell.org kwenye port 22,nimefanikiwa kulogini lakini nimeshinndwa kuendelea naomba msaada wa commands
za kuchat kupitia ssh!:nerd:

Msaada ni kusoma wa makini na kuelewa maelezo haya amabyo yapo katika hatua fulani unapojisajili kwa ama new user

PLEASE READ THIS CAREFULLY:
You are about to create a UNIX shell account. This account may be unlike anything you've used before. We urge you to carefully read all the text displayed on your terminal, as it will aide you in your learning. We also encourage you to try all the commands available with your new account. There are many types of games, applications and utilities you will be able to instantly run in just a few moments. If you are looking for a particular command or version of a command that we do not have, there are ways to request that it be installed. We also offer DIALUP and DSL in the USA and Canada which you will be able to learn about shortly. Be patient, read what is displayed - Explore and Enjoy! [RETURN]

Unataka kulog in kufanya nini. Maana ukitumia command ya help iaupaoptin zote zinazoweza kukusaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom