mwachisabwe kibona
Senior Member
- Aug 5, 2014
- 116
- 27
Naomba msaada jaman kuna watu tunabishana nao hapa wengine wanadai ''hakushiba sana''kwa madai Kwamba sarufi ya kiswahili haina dhima ya ''Ja''
Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini wanashidwa kutoa dhima ya 'ja' na 'ku' inaonesha wakati uliopita Kwa wanaounga hajashiba sna
Na wengine wanadai 'hajashiba sana' lakini wanashidwa kutoa dhima ya 'ja' na 'ku' inaonesha wakati uliopita Kwa wanaounga hajashiba sna