D DEKA Member Apr 11, 2011 14 2 Apr 13, 2011 #1 Hello wa kina Baba, Mama, Kaka, dada, na wadogo zangu salamu ziwafikie. Najitambulisha kwa jina la DEKA mgeni ndani ya nyumba ya maarifa. Nipokeeni kwa mikono miwili ktk Bustani hii ya mawazo ili nami niwe mpandaji tkt bustani hii nzuri hapa nyumbani. Asanteni.
Hello wa kina Baba, Mama, Kaka, dada, na wadogo zangu salamu ziwafikie. Najitambulisha kwa jina la DEKA mgeni ndani ya nyumba ya maarifa. Nipokeeni kwa mikono miwili ktk Bustani hii ya mawazo ili nami niwe mpandaji tkt bustani hii nzuri hapa nyumbani. Asanteni.
P plawala JF-Expert Member Jan 10, 2011 625 60 Apr 13, 2011 #2 Karibu kwenye jumuia yenye fikra pevu bila zengwe!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Apr 13, 2011 #4 Karibu sana jamvini, zingatia kanuni na sheria za hapa!
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Apr 13, 2011 #5 jisikie upo nyumbani. Endelea kuagza kinywaji bil lete kwangu!
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Apr 13, 2011 #6 Ni mtandaoni sio bustanini Karibu lakini :bored:
D DEKA Member Apr 11, 2011 14 2 Apr 14, 2011 Thread starter #9 Nawashukuru nyote, kwa moyo na upendo ktk jamvi hili. Asanteni sana