Naomba mnipokee!

DEKA

Member
Apr 11, 2011
14
2
Hello wa kina Baba, Mama, Kaka, dada, na wadogo zangu salamu ziwafikie.
Najitambulisha kwa jina la DEKA mgeni ndani ya nyumba ya maarifa.

Nipokeeni kwa mikono miwili ktk Bustani hii ya mawazo ili nami niwe mpandaji tkt bustani hii nzuri hapa nyumbani.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom