Naomba mnijulishe

luckyperc

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
495
46
Hili sawa la hedhi, mpenzi wangu alitakiwa aanze kublid tarehe 17 au 18, sasa kilichotokea hadi leo hajazipata siku zake, nikimuuliza unajisikiaje anadai hajihisi kitu chochote tumboni, je hili huwa linatokea kwa mwanamke kusogeza siku zake? Nikimwambia 2kacheki mimba anasema hajisikii kama ana mimba.

Help please.
 
hahaaaaaaaaaa dawa ni kupima tu sababu mwanamke anaweza kua na mimba lakini asigundue mapema kama ana mimba hapo dawa ni kupima tu na mkiikuta msiitoe maana hako ni kapresdent ka kesho!
 
help what now, kwani kama ana mimba ulitaka kuitoa? we uchune tu, kama kuna mimba utailea na mtoto atazaliwa utalea, kama hakuna kitu basi subiria tu kitu kitaanza kutoka muda si mrefu..au ulikuwa unataka gemu sasa unaogopa utakoroga kama kuna mimba michanga?hahaha. pole.
 
Inaweza kutokea ila pimeni mimba!Wala huitaji kwenda popote kupima..pita pharmacy nunua pregnant test alafu mpelekee nyumbani mpime wenyewe!Ni kiasi cha kukojolea..maelezo zaidi yatakuwepo!Oh alafu inawezekana hataki kujua akiwa na wewe ili kama ipo akatoe bila wewe kujua so THINK!
 
Hili sawa la hedhi, mpenzi wangu alitakiwa aanze kublid tarehe 17 au 18, sasa kilichotokea hadi leo hajazipata siku zake, nikimuuliza unajisikiaje anadai hajihisi kitu chochote tumboni, je hili huwa linatokea kwa mwanamke kusogeza siku zake? Nikimwambia 2kacheki mimba anasema hajisikii kama anamimba.
Help please.......!

Swala la kusogeza siku za hedhi yeah lipo,lakini tafuteni kipimo cha mimba na mwaweza kufanyia home mtapata jibu tu.
Kwa muda huo yeah mwanamke anaweza kuwa ameshika mimba na asisikie dalili yoyote ile. Pateni kipimo!
 
Nimewapatia wanajamvi, unajua ananiambia yeye anauwezo wa kujitambua kama anaujauzito, mchana nikamwambia twende pharmacy nikanunue cha kupima mimba ananiambia nisiwe na hofu. Nashindwa kumuelewa halafu siko tayari kumrusu akaitoe.
 
Hili sawa la hedhi, mpenzi wangu alitakiwa aanze kublid tarehe 17 au 18, sasa kilichotokea hadi leo hajazipata siku zake, nikimuuliza unajisikiaje anadai hajihisi kitu chochote tumboni, je hili huwa linatokea kwa mwanamke kusogeza siku zake? Nikimwambia 2kacheki mimba anasema hajisikii kama anamimba.
Help please.......!

Sorry for the late reply...umetoa siku amabazo ulitegemea aanze kupata menses (kubleed) ambazo hazisaidii sana. Ungetoa siku alipoanza bleeding kwa mara mwisho ingesaidia zaidi!

Kuna vipimo vingi vya kupima mimba, kutmia damu au kutumia mkojo. Kipimo cha kawaida, kupatikana kirahisi na kinachotumika zaidi ni cha mkojo. Hiki huwa kinapima kiasi cha kichocheo (hormone) kinachoitwa hCG (human chorionic gonadotropin) kwenye mkojo, hormone hii hutolewa baada ya yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi.

Test za mkojo (UPT) zinazopatika hapa kwetu Tanzania upima hormone hii, na ili kuweza kupatikana kiasi cha kutosha kwenye mkojo ili test iwe positive kwa uhakika inabidi zipite kama wiki 3 tangu tendo lifanyike, au wiki 2 tangu mwanamke akose siku zake. Unaweza ukapima sasa ikasema ni negative ukafurahia halafu baada ya miezi kadhaa dada wa watu anavimba!

Subiri uone kama siku zimechelewa tu (huwa inatokea), zikifika wiki 2 na kuendelea then fanya kipimo cha mkojo cha mimba (UPT), kana ni negative na hatapata siku zake rudia baada ya wiki moja.
 
Huyo aache uongo mimba ya siku 10 hawezi kuhisi chochote,mpime mwenyewe huyo ana mpango wa kuua kiumbe chenu bila ya wewe kustukia.
 
Sorry for the late reply...umetoa siku amabazo ulitegemea aanze kupata menses (kubleed) ambazo hazisaidii sana. Ungetoa siku alipoanza bleeding kwa mara mwisho ingesaidia zaidi!

Kuna vipimo vingi vya kupima mimba, kutmia damu au kutumia mkojo. Kipimo cha kawaida, kupatikana kirahisi na kinachotumika zaidi ni cha mkojo. Hiki huwa kinapima kiasi cha kichocheo (hormone) kinachoitwa hCG (human chorionic gonadotropin) kwenye mkojo, hormone hii hutolewa baada ya yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi.

Test za mkojo (UPT) zinazopatika hapa kwetu Tanzania upima hormone hii, na ili kuweza kupatikana kiasi cha kutosha kwenye mkojo ili test iwe positive kwa uhakika inabidi zipite kama wiki 3 tangu tendo lifanyike, au wiki 2 tangu mwanamke akose siku zake. Unaweza ukapima sasa ikasema ni negative ukafurahia halafu baada ya miezi kadhaa dada wa watu anavimba!

Subiri uone kama siku zimechelewa tu (huwa inatokea), zikifika wiki 2 na kuendelea then fanya kipimo cha mkojo cha mimba (UPT), kana ni negative na hatapata siku zake rudia baada ya wiki moja.

Yeye anakwenda siku 28, kwa mwezi uliopita ilikuwa tarehe 18/2/2011.
mkuu hapo kwenye blue sijakusoma, yaani tokea nimelala nae au sijakusoma.
 
Yeye anakwenda siku 28, kwa mwezi uliopita ilikuwa tarehe 18/2/2011.
mkuu hapo kwenye blue sijakusoma, yaani tokea nimelala nae au sijakusoma.

'wiki 3 tangu tendo lifanyike' nina maana tangu siku ulipolala naye au siku unayodhani ulimtia mimba.

Kama anaenda siku 28 ina maana siku zake za hatari zilikuwa kati ya tarehe 1/3/2011 mpaka 8/3/2011...kama uliingia bila kinga katika tarehe hizo andaa nepi(am joking), fanya UPT baada ya siku 3..ikiwa negative rudia baada ya wiki ! Kama hukuingia katika tarehe hizo, basi inaweza ikawa amechelewa tu! Ila kwa uhakika zaidi fanya uPT kama nilivyoelekeza hapo juu. Goodluck.
 
Inaweza kutokea ila pimeni mimba!Wala huitaji kwenda popote kupima..pita pharmacy nunua pregnant test alafu mpelekee nyumbani mpime wenyewe!Ni kiasi cha kukojolea..maelezo zaidi yatakuwepo!Oh alafu inawezekana hataki kujua akiwa na wewe ili kama ipo akatoe bila wewe kujua so THINK!

i had the same idea!
 
Nimewapatia wanajamvi, unajua ananiambia yeye anauwezo wa kujitambua kama anaujauzito, mchana nikamwambia twende pharmacy nikanunue cha kupima mimba ananiambia nisiwe na hofu. Nashindwa kumuelewa halafu siko tayari kumrusu akaitoe.

ni kama alivyosema lizzy,anataka apime akiwa alone ili akiikuta aitoe,since hauko tyr akaitoe! Thats fact mkuu.! Funguka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom