luckyperc
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 495
- 46
Hili sawa la hedhi, mpenzi wangu alitakiwa aanze kublid tarehe 17 au 18, sasa kilichotokea hadi leo hajazipata siku zake, nikimuuliza unajisikiaje anadai hajihisi kitu chochote tumboni, je hili huwa linatokea kwa mwanamke kusogeza siku zake? Nikimwambia 2kacheki mimba anasema hajisikii kama ana mimba.
Help please.
Help please.